#COVID19 Barakoa mbichi si salama

#COVID19 Barakoa mbichi si salama

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210315_094624_0000.png


Usivae barakoa pindi unapokuwa katika shughuli zinazopelekea barakoa kuloa kama kuogelea, ukinyeshewa na mvua ama shughuli yoyote inayohatarisha barakoa kuloana.

Barakoa mbichi husababisha kushindwa kupumua vizuri. Ni vizuri zaidi kwa watumiaji wa barakoa za kufua (vitambaa) wasubiri zikauke ndipo watumie tena.

Vilevile unaweza kupiga pasi barakoa yako mara baada ya kukauka ili kuua vijidudu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom