Barakoa, neno lililo pata umaharufu baada ya janga la Corona

Barakoa, neno lililo pata umaharufu baada ya janga la Corona

Rukube

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2018
Posts
245
Reaction score
477
Mimi pamoja na kufanya kazi hospitalini kwa muda wa miaka kumi sasa sikua nafahamu kuwa musk inaitwa barakoa kwa kiswahili, vipi wewe mdau,je ulikua unajua kuwa musk inaitwa barakoa?
IMG_20200530_014236_571.jpeg
 
Back
Top Bottom