Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
JK kweki hayuko serious- bado ni usanii tuu??
A: Out so far ni hawa!
1. Kingunge
2. Mungai
3. Msolwa
4. Mapachu
5. Mramba
6. Meghji
7. Karamaji
8. Msabaha
9. Lowasa
B: Wapya (In)
1. Mama Nkya- (Naibu)
2. HAMISI KAGASHEKI (naibu)
3. Malima (Naibu)
C: Manaibu walifanywa Mawaziri kamili
1. Mustafa Mkulo
2. Kamala
3. Ngeleja
4. Chikawe
D: Wengine wamebadilishwa tu wizara
However- are these major changes?
Mbona hili si baraza jipya la mawaziri,Ni viraka vimebandikwa kwenye lile vazi la zamani!! Adam MALIMA???Mbunge wa Mukuranga???Tunasubiri maajabu na miujiza ya maisha bora!!
This might b the weakest cabnet ever,Is this what we are waiting so long??woe to Tanzania,The way of uprightness is like the light of early morning, getting brighter and brighter till the full day.
This has shown how ruling party decides in critical situation itching the nations.
DR.Mwinyi na DR Nchimbi wizara ya ulinzi??hawa vijana wataweza kusimamia maswala ya majeshi yetu ya ulinzi na usalama??
Sitaki kuamini sasa hivi kwamba kuna jipya,Time will tell
Meghji Nje
Msolla Nje
Mwapachu Nje
Nchimbi Nje
..........mambo ya siasa bwana.......anyway ndio imeshatoka hiyo tusikilizie utendaji sasa
JK kwa hakika hayuko seious hata kidogo
Sitta alikuwa anaenda vizuri na Elimu sasa ???????
Magufuri alikuwa anaenda vizuri na Aridhi sasa ?????
Bad cabinet
Mbona hili si baraza jipya la mawaziri,Ni viraka vimebandikwa kwenye lile vazi la zamani!! Adam MALIMA???Mbunge wa Mukuranga???Tunasubiri maajabu na miujiza ya maisha bora!!
This might b the weakest cabnet ever,Is this what we are waiting so long??woe to Tanzania,The way of uprightness is like the light of early morning, getting brighter and brighter till the full day.
This has shown how ruling party decides in critical situation itching the nations.
DR.Mwinyi na DR Nchimbi wizara ya ulinzi??hawa vijana wataweza kusimamia maswala ya majeshi yetu ya ulinzi na usalama??
Sitaki kuamini sasa hivi kwamba kuna jipya,Time will tell
Sasa Mkuu hapa si tutakufa njaa mwaka huu?
Kama kavuruga namna ile elimu ya juu, itakuwaje kwa kilimo ambacho mpaka sasa kinachechemea?
JK kweki hayuko serious- bado ni usanii tuu??
A: Out so far ni hawa!
1. Kingunge
2. Mungai
3. Msolwa
4. Mapachu
5. Mramba
6. Meghji
7. Karamaji
8. Msabaha
9. Lowasa
B: Wapya (In)
1. Mama Nkya- (Naibu)
2. HAMISI KAGASHEKI (naibu)
3. Malima (Naibu)
C: Manaibu walifanywa Mawaziri kamili
1. Mustafa Mkulo
2. Kamala
3. Ngeleja
4. Chikawe
D: Wengine wamebadilishwa tu wizara
However- are these major changes?