Tumia angalao ubongo wako kidogo. Nini sifa za mtu kuwa waziri? Ridhiwan/Masha wanaweza kuwa mawaziri? Kwa vigezo gani?
Unafikiri ccm wanaangalia vigezo? Wanaangalia ulichangia kiasi gani kwenye chama. Ndiyo maana wabunge wengi wa ccm wamepita strd 7, mfano Lameck Airo, Livingstone Lusinde, Stephen Ngonyani (maji marefu), Deo Sanga (jah people) nk.
Fikiria kama wabunge wote ni darasa la saba unategemea kuteua mawaziri wa namna gani?
Anna Tibaijuk - wizara ya ardhi
Walau Riwadhi na Masha hawezi kuwa mawaziri kwani kikatiba waziri lazima hawe amechaguliwa kwenye jimbo. Au.....
Tumia angalao ubongo wako kidogo. Nini sifa za mtu kuwa waziri? Ridhiwan/Masha wanaweza kuwa mawaziri? Kwa vigezo gani?
Unafikiri ccm wanaangalia vigezo? Wanaangalia ulichangia kiasi gani kwenye chama. Ndiyo maana wabunge wengi wa ccm wamepita strd 7, mfano Lameck Airo, Livingstone Lusinde, Stephen Ngonyani (maji marefu), Deo Sanga (jah people) nk.
Fikiria kama wabunge wote ni darasa la saba unategemea kuteua mawaziri wa namna gani?
Naona sasa mmeamia ccm mpaka mnapendekeza mawaziri.
Nadhani emt yuko sawa. Kwani Meghji, Mahiza etc. walipataje uwaziri? Katiba si inasema anaweza akateua wabunge 10 akitaka?
Unafikiri ccm wanaangalia vigezo? Wanaangalia ulichangia kiasi gani kwenye chama. Ndiyo maana wabunge wengi wa ccm wamepita strd 7, mfano Lameck Airo, Livingstone Lusinde, Stephen Ngonyani (maji marefu), Deo Sanga (jah people) nk.
Fikiria kama wabunge wote ni darasa la saba unategemea kuteua mawaziri wa namna gani?
Wewe pilipili usiyo ila inakuwashia nini ? Hili ni baraza la mawaziri wa wanaotoka na ccm wewe panga lako la chadema, au ndio unomba cheo kwa JK hivyo pole pole. Mbona mgombea mwenza wa Slaa alikuwa darasa la saba?. Kweli nchii hii ni ya kuwa na M/Rais wa darasa la 7, kweli mmewadharau kweli watanzania, Mungu awasamehe bure.