Baraza la ardhi maswa halina mwenyekiti miaka zaidi ya miwili

iparamasa

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
13,437
Reaction score
14,927
Anna Tibaijuka najua ni memba humu, ni lini mtateua au kuajiri mwenyekiti baraza la ardhi la wilaya maswa? Cc Mwigulu Nchemba mpe mama hela za kuajiri, wana maswa watahisi mna ajenda ya siri
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…