Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Baraza la Madiwani la halmashauri ya wilaya ya Ludewa sambamba na kamati ya Ushauri wilaya limepitisha azimio la kugawa Jimbo la Ludewa na kuwa majimbo mawili ya uchaguzi ili kuweza kusogeza huduma kwa wananchi kwa urahisi zaidi.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya mnamo Februari 2,2025 Tume Huru ya Taifa ya uchaguzi kutoa tangazo la kuruhusu mchakato wa kugawa ama kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi huku katika hatua ya ugawaji majimbo ikiweka vigezo vya idadi ya watu kuanzia 600,000 kwa mijini na 400,000 kwa vijijini.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Vigezo vingine ni ukubwa wa eneo la jimbo husika, mipaka ya kiutawala, hali ya kiuchumi ya jimbo, jimbo moja kutokuwa ndani ya wilaya ama halmashauri mbili, mpangilio wa makazi ya watu, idadi ya wabunge viti maalum wanawake, uwezo wa ukumbi wa bunge, upatikanaji wa njia za mawasiliano pamoja na hali ya kijiografia ya eneo husika.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya mnamo Februari 2,2025 Tume Huru ya Taifa ya uchaguzi kutoa tangazo la kuruhusu mchakato wa kugawa ama kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi huku katika hatua ya ugawaji majimbo ikiweka vigezo vya idadi ya watu kuanzia 600,000 kwa mijini na 400,000 kwa vijijini.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Vigezo vingine ni ukubwa wa eneo la jimbo husika, mipaka ya kiutawala, hali ya kiuchumi ya jimbo, jimbo moja kutokuwa ndani ya wilaya ama halmashauri mbili, mpangilio wa makazi ya watu, idadi ya wabunge viti maalum wanawake, uwezo wa ukumbi wa bunge, upatikanaji wa njia za mawasiliano pamoja na hali ya kijiografia ya eneo husika.