Elections 2010 Baraza la mawaziri la Rais Dr. Slaa

Elections 2010 Baraza la mawaziri la Rais Dr. Slaa

kipipili

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
1,587
Reaction score
186
katika mkutano wake wa kampeni huko Arusha Dr. Slaa ameahidi kuunda baraza la dogo la mawaziri ambao hawatazidi 20 ukichanganya na manaibu wao, wizara zitakuwa kama ifuatavyo:
1.fedha na uchumi (kilimanjaro)
2.ulinzi na jkt
3.mambo ya ndani
4.mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa (dar es salaam)
5.elimu, sayansi na teknolojia
6.afya na ustawi wa jamii
7.kilimo na ushirika (kanda ya ziwa)
8.maji, nishati na madini (kigoma)
9.mawasiliano na uchukuzi
10.tamisemi
11.sheria na katiba (singida)
12.utumishi na utawala bora
13.viwanda na biashara (kilimanjaro)
14.maliasili, utalii na mazingira
15.ardhi na maendeleo ya makazi (dar es salaam)
16.habari, utamaduni na michezo
sijaona ulazima wa kuwa na manaibu waziri(kwani hata hivyo si wajumbe wa baraza la mawaziri, zaidi ni kama personal assistants wa mawaziri) lakini ikibidi wizara zilizokuwa bolded zinaweza kuwa na manaibu waziri.
kwenye mabano ni baadhi maeneo ambayo mawaziri wa wizara hizo watatoka.
wadau mnaonaje hapo si tutasonga mbele, au kama kuna haja ya kuzichakachua zaidi wizara.
ni maoni tu wakuu mawazo yenu yanahitajika
 
4.Wizara ya mambo ya nje,africa ya mashariki na ushirikiano wa kimataifa.
 
katika mkutano wake wa kampeni huko Arusha Dr. Slaa ameahidi kuunda baraza la dogo la mawaziri ambao hawatazidi 20 ukichanganya na manaibu wao, wizara zitakuwa kama ifuatavyo:
1.fedha na uchumi (kilimanjaro)
2.ulinzi na jkt
3.mambo ya ndani
4.mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa (dar es salaam)
5.elimu, sayansi na teknolojia
6.afya na ustawi wa jamii
7.kilimo na ushirika (kanda ya ziwa)
8.maji, nishati na madini (kigoma)
9.mawasiliano na uchukuzi
10.tamisemi
11.sheria na katiba (singida)
12.utumishi na utawala bora
13.viwanda na biashara (kilimanjaro)
14.maliasili, utalii na mazingira
15.ardhi na maendeleo ya makazi (dar es salaam)
16.habari, utamaduni na michezo
sijaona ulazima wa kuwa na manaibu waziri(kwani hata hivyo si wajumbe wa baraza la mawaziri, zaidi ni kama personal assistants wa mawaziri) lakini ikibidi wizara zilizokuwa bolded zinaweza kuwa na manaibu waziri.
kwenye mabano ni baadhi maeneo ambayo mawaziri wa wizara hizo watatoka.
wadau mnaonaje hapo si tutasonga mbele, au kama kuna haja ya kuzichakachua zaidi wizara.
ni maoni tu wakuu mawazo yenu yanahitajika

Kuanzia 11 mpaka 16 sio lazima ziwe wizarazaweza kuwa idara katika wizara fulani eg viwanda na biashara iende fedha, uchumi na mipango, maliasili na mazingira iende kilimo utalii linaweza kuundwashirika kubwa la kuangalia hivyo amabalo litalink na wizara moja, habari na utamadumi na michezo inaweza enda wizara ya elimu.

Ardhi ibakie ila wafanyakazi na watendaji wote wapewe redundancy kuanzia katibu mkuu ili kuondoa uozo uliopo.

zitabaki wizara 11 tu, sheria na katiba inaweza kuwa chini ya PM moja kwa moja.
 
naona wafanyakazi waliopo kweye wizara zitakazo kufa waingizwe kwenye idara zitakazo undwa, issue kubwa hapa ni hayo mashangingi,siyo vizuri kutemper na ajira ya mpiga kura wako.
 
kunani Kilimanjaro?!, fedha uchumi na viwanda. Mbona sijaona Kusuni? Lindi na Mtwara
 
Asante kiongozi...lakini natatizwa na uteuzi wa mawaziri eti kutokana na maeneo wanayotoka. Labda kama sijakuelewa.
Hii itaibua hisia za matabaka huko baadae. The ministers' appointments must be on merit.
 
katika mkutano wake wa kampeni huko Arusha Dr. Slaa ameahidi kuunda baraza la dogo la mawaziri ambao hawatazidi 20 ukichanganya na manaibu wao, wizara zitakuwa kama ifuatavyo:
1.fedha na uchumi (kilimanjaro)
2.ulinzi na jkt
3.mambo ya ndani
4.mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa (dar es salaam)
5.elimu, sayansi na teknolojia
6.afya na ustawi wa jamii
7.kilimo na ushirika (kanda ya ziwa)
8.maji, nishati na madini (kigoma)
9.mawasiliano na uchukuzi
10.tamisemi
11.sheria na katiba (singida)
12.utumishi na utawala bora
13.viwanda na biashara (kilimanjaro)
14.maliasili, utalii na mazingira
15.ardhi na maendeleo ya makazi (dar es salaam)
16.habari, utamaduni na michezo
sijaona ulazima wa kuwa na manaibu waziri(kwani hata hivyo si wajumbe wa baraza la mawaziri, zaidi ni kama personal assistants wa mawaziri) lakini ikibidi wizara zilizokuwa bolded zinaweza kuwa na manaibu waziri.
kwenye mabano ni baadhi maeneo ambayo mawaziri wa wizara hizo watatoka.
wadau mnaonaje hapo si tutasonga mbele, au kama kuna haja ya kuzichakachua zaidi wizara.
ni maoni tu wakuu mawazo yenu yanahitajika





:clap2: cha msingi ni wizara siyo nani atapewa wizara hiyo (ulaji) vinginevyo nitakuhisi kuendeleza hoja ya ukabila na udini iliyozushwa na HC ikashindikana...
 
:clap2: cha msingi ni wizara siyo nani atapewa wizara hiyo (ulaji) vinginevyo nitakuhisi kuendeleza hoja ya ukabila na udini iliyozushwa na HC ikashindikana...


Kwakeli umenena!

Kwaushauri wizara ya kilimo na ushirika iwe WIZARA YA KILIMO NA MAENDELEO VIJIJINI kwa maana kilimo ndiyo ajira rasmi kijijini so when you link the two na kufanya ushirika kama means ya ku connect the two hapo hata ndoto za kuondoa nyumba za tope na nyasi ni within a time frame of not more than 10 years.
 
Kilimo na ushirika kwa Lake zone si vyema mtu wa iyo wizara angetoka southern highlands alafu lake zone wakapewa Madini
 
katika mkutano wake wa kampeni huko Arusha Dr. Slaa ameahidi kuunda baraza la dogo la mawaziri ambao hawatazidi 20 ukichanganya na manaibu wao, wizara zitakuwa kama ifuatavyo:
1.fedha na uchumi (kilimanjaro)
2.ulinzi na jkt
3.mambo ya ndani
4.mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa (dar es salaam)
5.elimu, sayansi na teknolojia
6.afya na ustawi wa jamii
7.kilimo na ushirika (kanda ya ziwa)
8.maji, nishati na madini (kigoma)
9.mawasiliano na uchukuzi
10.tamisemi
11.sheria na katiba (singida)
12.utumishi na utawala bora
13.viwanda na biashara (kilimanjaro)
14.maliasili, utalii na mazingira
15.ardhi na maendeleo ya makazi (dar es salaam)
16.habari, utamaduni na michezo
sijaona ulazima wa kuwa na manaibu waziri(kwani hata hivyo si wajumbe wa baraza la mawaziri, zaidi ni kama personal assistants wa mawaziri) lakini ikibidi wizara zilizokuwa bolded zinaweza kuwa na manaibu waziri.
kwenye mabano ni baadhi maeneo ambayo mawaziri wa wizara hizo watatoka.
wadau mnaonaje hapo si tutasonga mbele, au kama kuna haja ya kuzichakachua zaidi wizara.
ni maoni tu wakuu mawazo yenu yanahitajika

Mhe. Kipipili,

Hao mawaziri ulioonyesha mikoa wanapotoka ni kutokana na Dk. Slaa kukueleza ndiyo sababu ya kuwateua? Najua Dk. Slaa atazingatia uwezo na uadilifu wa atakayemteua, na sio mahala anapotoka waziri. Huo ndio msimamo wa CHADEMA.

Mhe. Kipipili hakuonyesha origins za mawaziri wengine. Kwa hiyo wanaJF wanaolalamika hawaoni mwakilishi wa kusini, wapigie kura tu wagombea wa CHADEMA wanaotoka kusini na watateuliwa. Dr. Slaa ni mwana siasa anayefahamu sensitivity za wananchi, na nina hakika ataonyesha balance katika Baraza lake la Mawaziri.

Tumpe kura zetu na tuchague wabunge wa sehemu zote, na atatupa Cabinet ya kitaifa.
 
nahis uwo mgaawanyilko utakuwa ni wa kiub.g.i lakini sijui coz kusini hajatajwa apo
 
Mi maona ziwe 19 andoe wiraza ya utamaduni habari na michezo na kuiunganisha na wizara ya elimu. Sisahihi kabisa na huu ni ubaguzi kuonesha mawaziri wa baadhi ya wizaramaeneo watakakotoka.may be kunasababu za msingi other wise haina tija
katika mkutano wake wa kampeni huko arusha dr. Slaa ameahidi kuunda baraza la dogo la mawaziri ambao hawatazidi 20 ukichanganya na manaibu wao, wizara zitakuwa kama ifuatavyo:
1.fedha na uchumi (kilimanjaro)
2.ulinzi na jkt
3.mambo ya ndani
4.mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa (dar es salaam)
5.elimu, sayansi na teknolojia
6.afya na ustawi wa jamii
7.kilimo na ushirika (kanda ya ziwa)
8.maji, nishati na madini (kigoma)
9.mawasiliano na uchukuzi
10.tamisemi
11.sheria na katiba (singida)
12.utumishi na utawala bora
13.viwanda na biashara (kilimanjaro)
14.maliasili, utalii na mazingira
15.ardhi na maendeleo ya makazi (dar es salaam)
16.habari, utamaduni na michezo
sijaona ulazima wa kuwa na manaibu waziri(kwani hata hivyo si wajumbe wa baraza la mawaziri, zaidi ni kama personal assistants wa mawaziri) lakini ikibidi wizara zilizokuwa bolded zinaweza kuwa na manaibu waziri.
Kwenye mabano ni baadhi maeneo ambayo mawaziri wa wizara hizo watatoka.
Wadau mnaonaje hapo si tutasonga mbele, au kama kuna haja ya kuzichakachua zaidi wizara.
Ni maoni tu wakuu mawazo yenu yanahitajika
 
Asante kiongozi...lakini natatizwa na uteuzi wa mawaziri eti kutokana na maeneo wanayotoka. Labda kama sijakuelewa.
Hii itaibua hisia za matabaka huko baadae. The ministers' appointments must be on merit.
hana lolote huu ndo dalili za ukabila
 
Back
Top Bottom