Serikali hatari kuliko yoyote ile ni ya jk wamekopa pesa jumla ya serikali ya mwinyi na mkapa na zaid na deni lilioachwa wamelizidisha mara tatu, haijawah tokea kwa mwinyi wala mkapa,zaid ni malalamiko kila kona anabomoa badala ya kujenga,jana walikuwa wanacheeka na kawambwa wake,wkt watu wamefeli acha tu yani,cku ziende upesi aendezake.