Nghanga Mpenule
Member
- Jun 22, 2011
- 5
- 0
Wana jamvi wenzangu nisaidieni katika hili, kwasababu ukienda mashuleni wanakodai wametuma unaambiwa hawajapelekewa. Kama kuna anaye jua undani wa jambo hili naomba anifahamishe.
Zimefutwa tayari. Mmeambiwa mrudie pepa.
Zimefutwa tayari. Mmeambiwa mrudie pepa.
Acha uongo results slip zshatoka mda xaana labda xul kwenu ndo wanawzngua