Baraza la Senate Nchini Kenya kumuhukumu Naibu Rais bila kumsikiliza. Je, anaweza akakata rufaa?

Baraza la Senate Nchini Kenya kumuhukumu Naibu Rais bila kumsikiliza. Je, anaweza akakata rufaa?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Naibu Rais wa Kenya aliugua muda mchache kabla yakwenda kwenye baraza la Senate. Lakini pamoja na kuugua wajumbe wa baraza wameamua kupiga kura na kumwondoa bila kumsikiliza.

Je, Naibu Rais anaweza kutumia mapungufu haya kwenda kukata rufaa kupinga maamuzi haya? Je, Rufaa anakata kwa nani?
 
Naibu Rais wa Kenya aliugua muda mchache kabla yakwenda kwenye baraza la Senate. Lakini pamoja na kuugua wajumbe wa baraza wameamua kupiga kura na kumwondoa bila kumsikiliza.

Je, Naibu Rais anaweza kutumia mapungufu haya kwenda kukata rufaa kupinga maamuzi haya? Je, Rufaa anakata kwa nani?
1. Senate ilimpa muda mpaka saa 11 jioni ila bado hakutokea. Hata ripoti ya daktari haikuletwa kwa Spika wa Seneti kama ushahidi. Naibu wa Rais anatibiwa hospital binafsi (Karen hospital) Hana daktari wa Serikali?

2. Wanasheria wake walikuwepo wangeweza kuendelea ila wakaweka Mpira kwapani
 
Back
Top Bottom