Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu ni ushahidi mwingine kwamba sasa kumekucha , na kwamba kama kuna anayedhani ccm itaambulia chochote Mbeya basi bila shaka atakuwa amelogwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kihalisia ukishachukuliwa msukule na kuwa ndondocha huwezi kujielewaMbowe mbona husemi ulivamiwaje?
Mungu ibariki Chadema
kikao njaa tupu hawana hata kachupa ka maji ka shilingi mia mkononiWamekaa kwa huzuni sana shida nini
Mimba isiyozaliwa haifai.Mbowe mbona husemi ulivamiwaje?
Wakifanyia mlimani city na drinks mnawasema wanafuja hela, wakifanyia sehemu simple bila drinks mnawasema pia. Sijui chadema wafanye lipi mtuliekikao njaa tupu hawana hata kachupa ka maji ka shilingi mia mkononi
Hujui vijana wa kisukuma waliotapakaa nchi nzima walimvamiaje yeye na Lissu?Mbowe mbona husemi ulivamiwaje?
Mkuu unapata wapi muda wa kujibizana na misukulekihalisia ukishachukuliwa msukule na kuwa ndondocha huwezi kujielewa
Tunakushukuru kwa kufichua siriHujui vijana wa kisukuma waliotapakaa nchi nzima walimvamiaje yeye na Lissu?
vikao vya chadema vinakuhusu nini ?kikao njaa tupu hawana hata kachupa ka maji ka shilingi mia mkononi
Si wanasemaga CHADEMA haina watu wa kugombea? Hawa mmewatoa wapi? Kazi ipo haki ya nani!Huu ni ushahidi mwingine kwamba sasa kumekucha , na kwamba kama kuna anayedhani ccm itaambulia chochote Mbeya basi bila shaka atakuwa amelogwa
View attachment 1484617View attachment 1484619View attachment 1484620
Ccm raha sana. Ingekuwa CCM hapo angepigiwa simu tajiri mmoja akatishiwa kupelekkewa Maafisa wa TRA asipohudumia kikao kwa maji na soda.kikao njaa tupu hawana hata kachupa ka maji ka shilingi mia mkononi
Jibu swali malafyale,ulituahidi utaleta ushadi mzito wa Mbowe kuvunjwa mguu na wasiojulikanakihalisia ukishachukuliwa msukule na kuwa ndondocha huwezi kujielewa
miaka yote hamjajenga kumbi zenu? mabilioni ya ruzuku mnayopata mnashindwa kujenga hata mabanda ya miti mkaezeka majani mtumie kama kumbi za mikutano?Wakifanyia mlimani city na drinks mnawasema wanafuja hela, wakifanyia sehemu simple bila drinks mnawasema pia. Sijui chadema wafanye lipi mtulie
😆😆😆Ccm raha sana. Ingekuwa CCM hapo angepigiwa simu tajiri mmoja akatishiwa kupelekkewa Maafisa wa TRA asipohudumia kikao kwa maji na soda.