Uchaguzi 2020 Baraza la Uongozi la CHADEMA Mkoa wa Mbeya lakutana na watia nia wa Ubunge na Udiwani

Uchaguzi 2020 Baraza la Uongozi la CHADEMA Mkoa wa Mbeya lakutana na watia nia wa Ubunge na Udiwani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huu ni ushahidi mwingine kwamba sasa kumekucha , na kwamba kama kuna anayedhani ccm itaambulia chochote Mbeya basi bila shaka atakuwa amelogwa

FB_IMG_1592682123523.jpg
FB_IMG_1592682142334.jpg
FB_IMG_1592682129792.jpg
 
Wakifanyia mlimani city na drinks mnawasema wanafuja hela, wakifanyia sehemu simple bila drinks mnawasema pia. Sijui chadema wafanye lipi mtulie
miaka yote hamjajenga kumbi zenu? mabilioni ya ruzuku mnayopata mnashindwa kujenga hata mabanda ya miti mkaezeka majani mtumie kama kumbi za mikutano?
 
Back
Top Bottom