Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatetea Palestina tu, halioni yanayoendelea kule Congo?

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatetea Palestina tu, halioni yanayoendelea kule Congo?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kati ya vitu sitaki kusikia ni vikao visivyo na tija vya baraza la usalama la UN. Nimewaza hawa jamaa kila siku vikao nani anawalipa hizo perdiem na matumizi mengine.

Hawa mabwana wanaona Palestina tu pale Congo wamekufa watu kama nzi kimya kabisa. M23 imewashinda mtaiweza Israel kweli? Ukraine Urusi anaua kila siku mmekaa kimya hamna msaada mnaona leo hii Rafah.

Sudan watu wanateketeea kama kuku mko kimya mnakalia vikao vya Rafah.

Nasema Israel piga hao Rafah mpaka hili baraza liheshimu binadamu wote ni sawa. Hutosikia wanajadili hali ya Africa kamwe wao ni hukohuko wanakimbilia vikao. Netanyahu piga hao.
 
Naunga mkono hoja.
Inaumaasanaaa majuzi wamekaaa zaidi ya vikao 7 leo tena ati saanane wanakutana kujadili rafah nasema Israel piga haoo mpaka dunian tupendane tukiwa hai kwa usawa

Sijawasikia wamekaaa kujadili Congo ama.sudan na .m23 wakisikia vilioo hukokwaooo haoo fastaaa siui wanapata nguvu wapi

Netanyahu tekenyaa haoo mpaka perdiem ziishe
 
Waarabu wana silaha kubwa kushinda Mkongo na msudan.
*Wana miliki Dini kubwa duniani.
*Media kubwa.
*Ushawishi
*Ni mabingwa propaganda,katika upande wa propaganda hakuna jamii inayoweza march na waarabu na jambo lolote linalomgusa mwarabu uwa linageuzwa na kuwa la Dini.

Whereas mkongo na msudani hawana hata kimoja nilivyoandika happ juu.
 
Kati ya vitu sitaki kusikia ni vikao visivyo na tija vya baraza la usalama la UN. Nimewaza hawa jamaa kila siku vikao nani anawalipa hizo perdiem na matumizi mengine.

Hawa mabwana wanaona Palestina tu pale Congo wamekufa watu kama nzi kimya kabisa. M23 imewashinda mtaiweza Israel kweli? Ukraine Urusi anaua kila siku mmekaa kimya hamna msaada mnaona leo hii Rafah.

Sudan watu wanateketeea kama kuku mko kimya mnakalia vikao vya Rafah.

Nasema Israel piga hao Rafah mpaka hili baraza liheshimu binadamu wote ni sawa. Hutosikia wanajadili hali ya Africa kamwe wao ni hukohuko wanakimbilia vikao. Netanyahu piga hao.
ile ni project ya mzungu baba

UN wameandika document had wamechoka
When africans are dying no one gives a https://jamii.app/JFUserGuide
 
Wazungu wanafiki sana wanatuona waafrica kama manyani hatuna thamani yyte kwao, huko US kwenyewe unakuta mtu ni raia kabisa ila kwakuwa ni ngozi nyeusi anabaguliwa.
 
Wazungu wanafiki sana wanatuona waafrica kama manyani hatuna thamani yyte kwao, huko US kwenyewe unakuta mtu ni raia kabisa ila kwakuwa ni ngozi nyeusi anabaguliwa.
Huwezi kupewa uthamanj bila wewe kujipa huo uthamani.Mwafrika ni ngumu sana kupewa thamani sababu mwenyewe hajipi thamani.Unakuta taifa lina matatizo mengi ambayo chanzo ni sisi wenyewe mfano ni hapo Somalia wanacho pigania ukifuatilia kiundanj ni upumbavu tu even Sudan.

Mwafrika anapewa msaada mpaka wa ujenzi wa choo,alafu utegemee kuheshimiwa na nani? Wakati unapewa msaada wa ujenzi wa vyoo,wewe uko bize kuonesha ufahari wa kutumia 500b kununua magari ya kifahari,Unatumia pesa za umma kufadhiri kampeni za kisiasa huu ni upumbavu na wakati huo huo wakinamama wanajifungulia chini nk

Tukubali tu watu weusi hatuwezi kujitawala,tunapaswa kusaidiwa.

Kwaheri Ukoloni,kwaheri uhuru.
 
Hata sisi Waafrika tuna shida sana wenzetu wanakufa hata Sudan tuko kimyaaa
 
2023-11-07T182330Z_85761483_RC2C84A86462_RTRMADP_3_SUDAN-POLITICS-DARFUR-1024x683.jpg

Ndugu zetu wanauliwa na Wanamgambo wa Kiarabu wa Janjaweed huko Sudan.
 
Kati ya vitu sitaki kusikia ni vikao visivyo na tija vya baraza la usalama la UN. Nimewaza hawa jamaa kila siku vikao nani anawalipa hizo perdiem na matumizi mengine.

Hawa mabwana wanaona Palestina tu pale Congo wamekufa watu kama nzi kimya kabisa. M23 imewashinda mtaiweza Israel kweli? Ukraine Urusi anaua kila siku mmekaa kimya hamna msaada mnaona leo hii Rafah.

Sudan watu wanateketeea kama kuku mko kimya mnakalia vikao vya Rafah.

Nasema Israel piga hao Rafah mpaka hili baraza liheshimu binadamu wote ni sawa. Hutosikia wanajadili hali ya Africa kamwe wao ni hukohuko wanakimbilia vikao. Netanyahu piga hao.
Piga hizo mbwa za kiarabu,ua zote hizo kima
 
Waafrika wenyewe hawaumii vifo vya waafrika wenzao ila miungu yao, miarabu na mizungu, ikiguswa tu miafrika inalia kama imeguswa yenyewe.
 
Back
Top Bottom