A
Anonymous
Guest
Ni takribanii wiki kadhaa tangu matokeo ya Mtihani wa Leseni yatoke mpaka sasa bado tunasubiri kutangaziwa siku ya kwenda kuchukua Leseni. Hili sio shida kwa sababu huenda ni Maandalizi yanafanyika kuweka mahafali hii kwa ukubwa na ufanisi zaidi, lakini, baadhi wamekuwa wakipitia changamoto kadhaa kuhusu kutafuta kazi katika taasisi mbalimbali kwa kutokuwa na Leseni.
Maana hata ukiwaonesha matokeo yako baadhi ya Waajiri kuwa umefaulu bado hawana haja na wewe mpaka waone Leseni, hivyo, wamekuwa wakipitia changamoto kadhaa ikiwemo kukosa nafasi hizo.
Nilikuwa natamani japo mngeruhusu katika mifumo ya TNMCI ili waonekane tayari ni ALLOWED TO PRACTICE ili japo wawe na cha kujitetea pindi wanapojitafutia nafasi hizo katika sehemu mbalimbali.
Majibu ya TNMCI soma hapa ~ Baraza la Uuguzi na Ukunga (TNMC): Wahitimu wanaosubiri Leseni wawe watulivu, tupo kwenye mchakato
Maana hata ukiwaonesha matokeo yako baadhi ya Waajiri kuwa umefaulu bado hawana haja na wewe mpaka waone Leseni, hivyo, wamekuwa wakipitia changamoto kadhaa ikiwemo kukosa nafasi hizo.
Nilikuwa natamani japo mngeruhusu katika mifumo ya TNMCI ili waonekane tayari ni ALLOWED TO PRACTICE ili japo wawe na cha kujitetea pindi wanapojitafutia nafasi hizo katika sehemu mbalimbali.
Majibu ya TNMCI soma hapa ~ Baraza la Uuguzi na Ukunga (TNMC): Wahitimu wanaosubiri Leseni wawe watulivu, tupo kwenye mchakato