Baraza la Vijana CHADEMA latangaza Uchaguzi wake wa Marudio


Anza kwanza kuimprove wewe and then sisi tutafuata!TOA BORITI NDANI YA JICHO LAKO NDIPO UTOE KIBANZI CHA CHADEMA..
 

Wewe kada Waberoya nilikuuliza uniambie ni lini uchaguzi wa mwenyekiti wenu wa CCM ulifanyika na aligombea na nani na mwaka gani akashinda kwa kura ngapi hujajibu so give us and Chadema a break unless you make a reply on the question

and pls dont try to ignore these 1000 JF members they might come with a constructive motion that you cant imagine nafikiri theory ya tree diagram unaijua vizuri inaanza na a single point na ku multiply ndiyo maana hata wewe kutwa nzima unashinda hapa JF
 
Unaitetea CHADEMA kwa kufanya utumbo kama wa CCM, sasa utategemea mabadiliko gani? Kama wanapeana vyeo kama CCM utawala wao utakuwa vipi tofauti na wa mafisadi wenzao wa CCM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…