Baraza La Wazee CHADEMA(BAZECHA) wakerwa na tabia ya vijana kukaa kwenye Mwendokasi wakati wazee wamesimama. Watoa pendekezo!

Baraza La Wazee CHADEMA(BAZECHA) wakerwa na tabia ya vijana kukaa kwenye Mwendokasi wakati wazee wamesimama. Watoa pendekezo!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Baraza la wasanii CHADEMA maarufu kama BAVICHA leo katika mkutano wao wa kuadhimisha siku ya wazee duniani wameoneshwa jinsi wanavyokereka na tabia wanazoonesha vijana kwenye mwendokasi.

Soma pia: BAWACHA watangaza kuchoma vitenge walivyopewa kama zawadi na Rais Samia mwaka jana

Wakati anazungumza, mmoja wa wazee wa Baraza hilo amedokeza kuwa tabia ya vijana kukaa kwenye siti ilhali wazee wamesimama kwenye mwendokasi si ya kupendeza na kuongeza kuwa serikali inatakiwa kuwawekea wazee eneo maalum kwenye mwendokasi.

"Wazee wamekuwa wakinyanyaswa, hawapewi misadaa na kimsingi hawana mfumo wa kuwasaidia yaani supprorting system matokeo yake tunaona wazee hata kwenye usafiri wa umma na hasa kwenye mabasi ya mwendokasi hapa Dar Es Salaam, wazee wanakosa viti vya kukaa huku vijana wakiwa wamekalia viti bila kuwapisha."

Ujumbe huo wa BAZECHA waliongeza kwa kusema:

"Kwa hiyo tunaitaka serikali kuwatengea eneo maalum wanalokaa wazee kama ambavyo wametengewa watu wenye ulemavu"

Source: The Chanzo
 
Hariri maudhui yako kabla hujayachapisha. Unaharakia wapi?
 
Marekani kule wanawaita “senior citizens”, wanapewa kipaumbele kwenye mambo mengi ikiwemo huduma nk.

Senior citizens ni bora wakapewa kipaumbele.
 
Baraza la wasanii CHADEMA maarufu kama BAVICHA leo katika mkutano wao wa kuadhimisha siku ya wazee duniani wameoneshwa jinsi wanavyokereka na tabia wanazoonesha vijana kwenye mwendokasi.

Soma pia: BAWACHA watangaza kuchoma vitenge walivyopewa kama zawadi na Rais Samia mwaka jana

Wakati anazungumza, mmoja wa wazee wa Baraza hilo amedokeza kuwa tabia ya vijana kukaa kwenye siti ilhali wazee wamesimama kwenye mwendokasi si ya kupendeza na kuongeza kuwa serikali inatakiwa kuwawekea wazee eneo maalum kwenye mwendokasi.

"Wazee wamekuwa wakinyanyaswa, hawapewi misadaa na kimsingi hawana mfumo wa kuwasaidia yaani supprorting system matokeo yake tunaona wazee hata kwenye usafiri wa umma na hasa kwenye mabasi ya mwendokasi hapa Dar Es Salaam, wazee wanakosa viti vya kukaa huku vijana wakiwa wamekalia viti bila kuwapisha."

Ujumbe huo wa BAZECHA waliongeza kwa kusema:

"Kwa hiyo tunaitaka serikali kuwatengea eneo maalum wanalokaa wazee kama ambavyo wametengewa watu wenye ulemavu"

Source: The Chanzo
BAVICHA huku BAZECHA pale wasanii acha niendelee kuchoma kishada kwanza labda nitaelewa
 
Hao si walikua wanapinga huo mradi kujengwa?leo imekuaje mpaka wanalilia kukaa kwenye viti?
 
Punguza uongo. Mara wasanii, mara wazee mara vijana.
 
Baraza la wasanii CHADEMA maarufu kama BAVICHA leo katika mkutano wao wa kuadhimisha siku ya wazee duniani wameoneshwa jinsi wanavyokereka na tabia wanazoonesha vijana kwenye mwendokasi.

Soma pia: BAWACHA watangaza kuchoma vitenge walivyopewa kama zawadi na Rais Samia mwaka jana

Wakati anazungumza, mmoja wa wazee wa Baraza hilo amedokeza kuwa tabia ya vijana kukaa kwenye siti ilhali wazee wamesimama kwenye mwendokasi si ya kupendeza na kuongeza kuwa serikali inatakiwa kuwawekea wazee eneo maalum kwenye mwendokasi.

"Wazee wamekuwa wakinyanyaswa, hawapewi misadaa na kimsingi hawana mfumo wa kuwasaidia yaani supprorting system matokeo yake tunaona wazee hata kwenye usafiri wa umma na hasa kwenye mabasi ya mwendokasi hapa Dar Es Salaam, wazee wanakosa viti vya kukaa huku vijana wakiwa wamekalia viti bila kuwapisha."

Ujumbe huo wa BAZECHA waliongeza kwa kusema:

"Kwa hiyo tunaitaka serikali kuwatengea eneo maalum wanalokaa wazee kama ambavyo wametengewa watu wenye ulemavu"

Source: The Chanzo
Waambie hao wazee hatuwezi kuwapisha seat ilihali wanafunua nyuchi zao kwa mademu zetu wa buku mbili
 
Hueleweki Bwana mdogo,,BAZECHA,,BAVICHA,,,WASANII,, ndani ya traki moja,,Punguza Mipagawo,Jitahidi uwe unajipanga,,Kifikra,,,kiMaono,,na kimtazamo na pia uwe unajiandaa Kimwili,Nafsi na Akili, kabla ya kuleta Mada zako humu.
 
Binafsi huwa najishtukia nikiona nimekaa halafu mzee au mtu yeyote alie nizidi umri amesimama. Yaani huwa nakosa pozi.
 
Back
Top Bottom