Baraza ya katiba ngazi ya wilaya moshi (v) kukutana kuanzia tarehe 20 - 22 june 2013

Baraza ya katiba ngazi ya wilaya moshi (v) kukutana kuanzia tarehe 20 - 22 june 2013

DR. PHONE

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2012
Posts
504
Reaction score
91
Ndugu wana jamii forum habari nlizonazo na za kuaminika ni kuwa baraza la katiba Halmashari ya Moshi linaanza kukutana rasmi tarehe 20 mpaka 22 mwezi huu wa July 2013 katika ukumbi wa Umoja Hostel. Nauli na Malazi vitarejeshwa kwa wahusika!! Vipi kwingine jamani?
 
Huku Dar es Salaam bado kimya hatujajua tunaanza lini
 
Back
Top Bottom