denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Afisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba SC Barbara amezipuuza ripoti zinazodai Simba imezidiwa ujanja na Azam kwa kumsajili beki Manyama kutokea Ruvu Shooting.
Barbara amesema Simba haijawahi kufanya mazungumzo na timu yake au mchezaji mwenyewe kwa sababu hawajawahi kumuhitaji na hakuwepo kwenye mipango yao.
NOTE:
Ni vigumu sana Simba SC kushindwa kumpata mchezaji yeyote inayemuhitaji hapa Tanzania kutokana na uwezo wake kiuchumi, na mafanikio waliyofikia miaka ya karibuni uwanjani kwenye mashindano ya CAF, hivyo hii taarifa ya Barbara naiamini 100%
Barbara amesema Simba haijawahi kufanya mazungumzo na timu yake au mchezaji mwenyewe kwa sababu hawajawahi kumuhitaji na hakuwepo kwenye mipango yao.
NOTE:
Ni vigumu sana Simba SC kushindwa kumpata mchezaji yeyote inayemuhitaji hapa Tanzania kutokana na uwezo wake kiuchumi, na mafanikio waliyofikia miaka ya karibuni uwanjani kwenye mashindano ya CAF, hivyo hii taarifa ya Barbara naiamini 100%