Kipa Katoka [emoji2957]Maneno ya mkosaji
Atulize matako aka ma ashakumu Kama anayoAtulize kitenesi. Azam kawazidi ujanja.
Football lazima awaguse Simba Ila music ni lazima wamguse Diamond a.k.a Simba 😁😁😁😁Wachambuzi wa bongo wajanja sana, yaani saivi kila taarifa lazima wahusishe simba, saivi naona wameanza kwa kibu denis, mara ooh yanga na simba wanamgombania./.
Sijawahi leta uzi wa aina hiyo, kama unao weka hapa kila mmoja ajionee, mimi huyo Manyama nilikuwa hata simjui anachezea timu gani, ndio nikaambiwa yuko Ruvu Shooting.Si kuna Uzi humu mlileta wenyewe mnaojua mambo ya mpira wa Tanzania mkammwagia sifa kama zote japokuwa sikumbuki Uzi ulipandishwa na nani lakini miongoni mwa supporters wakubwa ni wewe denooJ, vipi tena Msumali huoooo!
Uzi hukuuleta wewe lakini kuna shabiki aliupandisha na mkamuunga mkono sikumbuki ni nani ngoja niutafute!Sijawahi leta uzi wa aina hiyo, kama unao weka hapa kila mmoja ajionee, mimi huyo Manyama nilikuwa hata simjui anachezea timu gani, ndio nikaambiwa yuko Ruvu Shooting.
Waongo hao, wewe waulize source ya hiyo report ni wapi au ni nani? Hawanaga chanzo zaidi ya kutunga tu!!Kuna uzi huko Facebook nimeona unadai Riport ya Kocha Gomes inataka wachezaji wapya wawili tu tena Wakigeni.
Hakuna ingizo jipya la mchezaji wa ndani.
Ni kweli hapa Bongo tuna utamaduni wetu wa kuhabarisha watu vitu vya tetesi. Hata Magazeti ya Michezo yote kilasiku yana andika vitu vya uongo.Waongo hao, wewe waulize source ya hiyo report ni wapi au ni nani? Hawanaga chanzo zaidi ya kutunga tu!!
Uzi hukuuleta wewe lakini kuna shabiki aliupandisha na mkamuunga mkono sikumbuki ni nani ngoja niutafute!
She is rightAfisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba SC Barbara amezipuuza ripoti zinazodai Simba imezidiwa ujanja na Azam kwa kumsajili beki Manyama kutokea Ruvu Shooting.
Barbara amesema Simba haijawahi kufanya mazungumzo na timu yake au mchezaji mwenyewe kwa sababu hawajawahi kumuhitaji na hakuwepo kwenye mipango yao.
NOTE:
Ni vigumu sana Simba SC kushindwa kumpata mchezaji yeyote inayemuhitaji hapa Tanzania kutokana na uwezo wake kiuchumi, na mafanikio waliyofikia miaka ya karibuni uwanjani kwenye mashindano ya CAF, hivyo hii taarifa ya Barbara naiamini 100%