njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kwa huu Uzi wa Simba, takadini akiupeleka pale TFF nina uhakika kifungo chake kitasamehewa😀Mara uzembe, hakujua kama sponsor anabadilishwa? jezi kweli zimechelewa lakini ni nani alijua kwamba tangu wakiwa misri video/photoshoot za wachezaji zilifanyika kule?
Laiti kama sope takadini angekuwepo zingeshavuja muda mrefu, kwa hili la kubana mianya ya kuvuja aisee hongereni sana, nimeipenda third kit na ile nyekundu zaidi
NIMESHANGAA kuona video clips zimeshutiwa misri pamoja na makelele yote haya watu wakanyuti kimya tunavujishiwa majezi ya uongo, dahIla kiukweli Barbara anautendea mpira haki
Akijibu shitaka lako namwambia wapi MO kaweka B20Haya yule popoma GENTAMYCINE aje hapa aseme jinsi zilivokwama bandarini
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Lile popoma limekalia uchawi na majunguHaya yule popoma GENTAMYCINE aje hapa aseme jinsi zilivokwama bandarini
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] anajiita the game changerAkijibu shitaka lako namwambia wapi MO kaweka B20
Yaani hersi kanishangaza sana nilikuwa nadhani ni mtu smart, wakati nazidi kushangaa nashangaa makamu wake Arafat mwajiriwa serikali naye, bado kuna Patrick simon, mbona hawafananinii na ujinga wao?Babra anafaa sana kurithi mikoba ya Kinana kwa umaridadi wa Mikakati
ule uswahili uswahili wa Manara wanawezana na wenzie kina Hersi
Simba Ni taasisi makiniMara uzembe, hakujua kama sponsor anabadilishwa? jezi kweli zimechelewa lakini ni nani alijua kwamba tangu wakiwa Misri video/photoshoot za wachezaji zilifanyika kule?
Laiti kama Sope Takadini angekuwepo zingeshavuja muda mrefu, kwa hili la kubana mianya ya kuvuja aisee hongereni sana, nimeipenda third kit na ile nyekundu zaidi
Huyu dada hajitambui ,Ni wakumsamehe tuHaya yule popoma GENTAMYCINE aje hapa aseme jinsi zilivokwama bandarini
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hana lolote apeche alolo
Yaani analishwa taarifa za matango pori bila kuzifanyia uchambuzi anazishupaliaJenta muda huu anaugulia maumivu