Hilo lilitegemewa. Bahati haiwezi kujirudia bali humwangukia mwingine na ndo maana jana Real Madrid imewakuta maana wamepita kwa msaada mkubwa wa Refa kwa red card isiyostahili kwa Bayern na magoli mawili ya offside za wazi kabisa. Kuna wkt tunalaumu marefa wetu lkn naona wanajitahidi sana maana kwa jana ilikuwa zaidi hata ya mechi za daraja la tatu kwa TZ. Uzur wa wenzetu ni kuwa wanajifunza na kurekibisha timu zao kwa misimu inayofuata ili kufanya vzr