Barcelona vs Real Madrid

Ingekuwa ndo mechi zile za mchangani mpira mmoja, ukitoka tuu! nautia msumar game iishe au lah, kama wangu nautia kwapan, tuonane kesho.
 
Real wameuza mechi? Hivi ni kweli uwezo wao ni pasi moja tu na kupoteza mpira?
 
Calvalio njano kafanya faulo, the ref is trying to be lenient b'se alikuwa mchezaji wa mwisho kuelekea golini kwake!
 
Ingekuwa ndo mechi zile za mchangani mpira mmoja, ukitoka tuu! nautia msumar game iishe au lah, kama wangu nautia kwapan, tuonane kesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…