Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Hujui kusoma au ndio kudandia gari kwa mbele?Is Jurgen loading?
Hao ""BASA" wahuni. Jamaa alitangaza kuondoka, wakam'bembeleza abaki, akaamua kubaki, wamemtimuaa! Ni trick nzuri. Ukigundua mpenzio kuna dalili ya kukumwaga, jitahidi um bwage weweeee!Aliyekuaa kocha wa Miamba ya Hispania, Xavi Hernàndez leo asubuhi ameachishwa kazi na rais wa Miamba hiyo Joan la Porta imeripotiwa Xavi na mchezaji muhimu wa zamani wa barcelona hatokua tena pale shimoni katika msimu ujao.
KWAHERI XAVI.
View attachment 2998171
Dalili aliziona mapema kwamba hawezi kubaki, toka mwanzo wa mwaka huu aliongea kuhusu hatma yake kwamba ungekuwa msimu woke wa mwisho.Hao ""BASA" wahuni. Jamaa alitangaza kuondoka, wakam'bembeleza abaki, akaamua kubaki, wamemtimuaa! Ni trick nzuri. Ukigundua mpenzio kuna dalili ya kukumwaga, jitahidi um bwage weweeee!
Coaches are hired to be firedAliyekuaa kocha wa Miamba ya Hispania, Xavi Hernàndez leo asubuhi ameachishwa kazi na rais wa Miamba hiyo Joan la Porta imeripotiwa Xavi na mchezaji muhimu wa zamani wa barcelona hatokua tena pale shimoni katika msimu ujao.
KWAHERI XAVI.
View attachment 2998171
Angalia gap la muda kati ya post yangu na hiyo inayomtaja Flick.Hujui kusoma au ndio kudandia gari kwa mbele?
Kilichoifirisi ni Nini?Barcelona imefirisika.
Itakuwa team ya kati tu kama betis