Barcelona yapata kipigo cha aibu nyumbani, yapigwa na PSG magoli 4-1

Barcelona yapata kipigo cha aibu nyumbani, yapigwa na PSG magoli 4-1

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kweli mchezo wa soka hautabiriki, Licha ya Barcelona kupewa nafasi kubwa lakini imeambulia kipigo cha magoli 3-1 kwenye Uwanja wa Camp Nou kutoka kwa PSG katika Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Hivyo, PSG imefanikiwa kuingia Nusu Fainali kwa jumla ya magoli 6-4 kwa kuwa mchezo wa kwanza Barcelona ilishinda magoli 3-2.

Robo Fainali nyingine, Borrusia Dortmund imefanya kile ambacho hakikutegemewa na wengi, imeshinda magoli 4-2 dhidi ya Atletico de Madrid, hivyo kuingia Nusu Fainali kwa jumla ya magoli 5-4
 
kwa kufuata matokea ya mechi ya kwanza mechi hii muhindi atakua kaumiza watu vibaya mno.
Psg na Barcelona hawa wote ni wagonjwa mtambuka.
 
Wakuu. Tuachane na mpira maana umeisha. Tafadhari naombeni mniombee. maana naenda kulala kwa mke wa mtu now, mme wake hayupo naamini hatarudi leo. Eee Mama samia nisaidie.
 
Wakuu. Tuachane na mpira maana umeisha. Tafadhari naombeni mniombee. maana naenda kulala kwa mke wa mtu now, mme wake hayupo naamini hatarudi leo. Eee Mama samia nisaidie.
Ongea na aslay akupatie mafuta
 
Wakuu. Tuachane na mpira maana umeisha. Tafadhari naombeni mniombee. maana naenda kulala kwa mke wa mtu now, mme wake hayupo naamini hatarudi leo. Eee Mama samia nisaidie.
Andaa mafuta kabisa,
 
Mkuu Barcelona hachezei match zake Camp Nou siku hizi nahisi umeona matokeo Live score ukaona uwahi kuandika uzi.
 
Back
Top Bottom