Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mikakati ya ushindiSijakusoma mkuu, embu tupe Maelezo kidg
🤣🤣🤣🤣🤣Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , leo tarehe 2/01/2024 , Chadema huko Bariadi imeanza rasmi kazi ya kubadilisha uongozi wa Nchi , hawakutaka kusubiri mwaka upauke .
Taarifa rasmi hii hapa .
View attachment 2860435View attachment 2860436
Kazi imeanza upyaaaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba , leo tarehe 2/01/2024 , Chadema huko Bariadi imeanza rasmi kazi ya kubadilisha uongozi wa Nchi , hawakutaka kusubiri mwaka upauke .
Taarifa rasmi hii hapa .
View attachment 2860435View attachment 2860436
AmeenMungu ibariki Chadema
Wanashindana nani?Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , leo tarehe 2/01/2024 , Chadema huko Bariadi imeanza rasmi kazi ya kubadilisha uongozi wa Nchi , hawakutaka kusubiri mwaka upauke .
Taarifa rasmi hii hapa .
View attachment 2860435View attachment 2860436
Ushindi kwa mgombea yupi?Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , leo tarehe 2/01/2024 , Chadema huko Bariadi imeanza rasmi kazi ya kubadilisha uongozi wa Nchi , hawakutaka kusubiri mwaka upauke .
Taarifa rasmi hii hapa .
View attachment 2860435View attachment 2860436
Kama inauma chomoa chomeka panapostahili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndugu Mbona kila siku tunakaa vikao vya kila aina, na hatubalishi lolote, tunachobadilisha NI mbinu za kelele majukwani, na wapaaza kelele zetu na kebehi NI wale wale tuu.
Hebu ona wakati Lissu na Lema waendapo kwa watoto wao Canada na Belgium, kelele na kebehi zinapungua, kwani HECHE anabaki peke yake, ila siku HIZI nao MK kaanza kumtengeneza BONI YAI naye aweza mpaaza kelele.
HayaHamas ni bora kuliko Chadema
Mungu ibariki Chadema