Baridi inaninyima amani..

Baridi inaninyima amani..

Big jay

Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
96
Reaction score
33
Heshima zenu wakuu,,
me kijana mwenzenu naja mnipe mashauri, kwa sababu nahisi haya maumivu kuna siku yatanitoa roho yangu
kwanza kabisa mimi ni mwanaume wa miaka 26 kwa mda wa miaka 7 sasa nina shida ya kuumwa na tumbo chini ya kitovu maumivu makali ambayo huelekea mpaka chini ya korodani,, na nikiziangali vizuri huwa naona ka zimepasuka na maanisha yale mayai mayai hupotea na huonekana kama ujiuji hivi,, kwa kweli maumivu ninayopata hayaelezeki, hii hari hudumu kwa mda wa masaa mawili kisha hari hurejea kama kawaida

wakati mwingine ngoma ikisimama bila kupewa haki yake khari ujirudia maumivu ya tumbo na kuvimba korodani

nikitembelea nchi za kusini mwa africa napata shida hapa nipo kapiri Zambia nimebanwa sisogei mbele hata hatua moja mbele
msaada jamani.
 
Heshima zenu wakuu,,
me kijana mwenzenu naja mnipe mashauri, kwa sababu nahisi haya maumivu kuna siku yatanitoa roho yangu
kwanza kabisa mimi ni mwanaume wa miaka 26 kwa mda wa miaka 7 sasa nina shida ya kuumwa na tumbo chini ya kitovu maumivu makali ambayo huelekea mpaka chini ya korodani,, na nikiziangali vizuri huwa naona ka zimepasuka na maanisha yale mayai mayai hupotea na huonekana kama ujiuji hivi,, kwa kweli maumivu ninayopata hayaelezeki, hii hari hudumu kwa mda wa masaa mawili kisha hari hurejea kama kawaida

wakati mwingine ngoma ikisimama bila kupewa haki yake khari ujirudia maumivu ya tumbo na kuvimba korodani

nikitembelea nchi za kusini mwa africa napata shida hapa nipo kapiri Zambia nimebanwa sisogei mbele hata hatua moja mbele
msaada jamani.

Kaka ikitokea hiyo hali kama unaweza kulala na mgongo jarbu.
 
Back
Top Bottom