Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nina Safar ya huko kwenu,hapo nyumbani bila Shaka ni pakubwa na vyumba ni vingi,,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]marhaba kaka T.............
Ok sawa,kuna ingine imejificha ipo sehemu inaitwa sakina inaitwaje Ile?Hapana "matako bar" ni Arusha night Park
Triple A?
vipo vya kutosha aseeNina Safar ya huko kwenu,hapo nyumbani bila Shaka ni pakubwa na vyumba ni vingi,,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Arusha night resort na kuna Arusha night park😎Hapana,nayo sijui Arusha nn sijui!!? imejificha hivi.
Ila Picnic daaa patamu sn
Asante sn,Ila shemeji(Baba) asiwe mkali me mdogo wako tu.Maana huko Kwa visu hawajambovipo vya kutosha asee
jiamini tu weweAsante sn,Ila shemeji(Baba) asiwe mkali me mdogo wako tu.Maana huko Kwa visu hawajambo
Asante sn Kwa uhakika.Nitakujuza.jiamini tu wewe
karibuAsante sn Kwa uhakika.Nitakujuza.
Jana jioni ilikua si mchezo,una wa kukufunika?Kuna baridi hatari aiseee, ila leo naona hali kidogo nzuri
Jana siku nzima ilikuwa matatizo, napiga whisky kutoa baridi , kipenzi yuko mbaliJana jioni ilikua si mchezo,una wa kukufunika?
Sasa Itanibidi nikufunikeJana siku nzima ilikuwa matatizo, napiga whisky kutoa baridi , kipenzi yuko mbali
Mlima meru ama?Aisee! Kipindi chake hiki, Watalii kule mlimani sijui hali itakuaje
Kipindi kama hiki Arusha ndipo nikilala lodge, naifurahia pesa ninayoitoa.Tangu hii baridi ianze sijaona wale ma toxic female feminists wakisema kwa status zao eti men are trash, ama all men are dogs.... i guess sahii men wamekua blanketi ama duvet...
Even if who you are, Mungu apewe sifa !! [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] Wacha nirudi nikafunike mtu mm[emoji41][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]