Tehteh! Itakuwa hata waathirika wa Canada, Finland, Iceland ni wengi saana eeeh.
Baba Dickson!!!Ahsante kwa taarifa mkuu, ngoja niandae safari ya Mbeya kama hali ya hewa inahamasisha kunyanduana...teh[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanume wa Dar huyo. Baridi Mbeya linaanza mwezi wa nne. Hapa hata kutawaza unatumia maji ya moto kudadadekiHii nayo unaita baridi mkuu? fanya uje mwezi wa sita au wa saba
Mama Dickson, ebu fanya twende Mbeya tukadumishe upendo....teh[emoji23]Baba Dickson!!!
Mama Dickson, ebu fanya twende Mbeya tukadumishe upendo....teh[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uli reply kwa nguvu sana ππ