Baridi Mbeya

Ian_

Member
Joined
Dec 1, 2019
Posts
7
Reaction score
6
Aisee salaam,

Habari za Jumapili wadau. Niende straight to the point. Mbeya baridi ni kali kweli kweli. Nipo hapa maeneo ya juu kidogo hivyo ninaipata baridi kinyama. No wonder Mbeya na Njombe wana watu wengi walioathirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…