Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Halooooooooooooo hivi malimau yameishaa ujuee watu watapika kwa kichefuchefu
Barnaba alichoongea ni sahihi sema wengi, hata wale wanaom-support, hawajamwelewa! Kwa mfano, ukiwasoma mashabiki wa Kiba, wanafurahia kauli hii ya Barnaba kumbe, ukiichambua kauli ya Barnaba inawahusu wanamuziki wengi including Kiba mwenyewe! Wao wanafurahia kwavile wanadhani kamponda Diamond kwamba hajui kuimba... wasichojiuliza, inakuaje ikiwa anasema Diamond hajui kuimba halafu bado anamtaja kwamba ni mmoja ya wasanii anaowakubali!Barnaba kaonyesha tu watu kwamba katika uimbaji wa mziki wake kuna weakness although he is a gud musician, sasa hapo wivu uko api, watz hatupendi kukosoana that's why tupo nyuma Kwa kila kitu
Juma nature alimwimba sintah weeeee matokeo yake watu wakamchoka, ndo hayo anayokuja nayo huyu domo, wa tandale ni wa tandale tu
na atabaki kuwa wa tandale, lakini ndio hivyo tena from tandale to BET, alafu kutwa kuchwa ana kazi ya kutulisha malimao angrrrrrr!!! lakini mnajua acheni utani asee!! inaboa sana atii!! na inakera kupita maelezo, ngumu kumeza kwa kweli.
Mbona malimao yanalika kwa chumvi mamaaa ila sikuwezi muimba twaarabu, hahaha narudia tena anguko laja au hamjaona mwimbo wa nyota ukidoda hahaha
Wewe ni mchawi cc@deo
View attachment 238365
Jana, Wakati akihojiwa na Mwanadada Shadee kwenye Kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Msanii 'Fundi wa Muziki' kutoka nyumba ya vipaji THT, Barnaba Elias 'Barnaba', pamoja na mambo mengi aliyozungumzia, alitoa maelezo kuhusu wasanii watano anaowakubali na sifa zao Kimuziki ambapo alimtaja Msanii wa BongoFleva Diamond Platnumz kuwa sio 'Mwanamuziki' mwenye kujua kuimba muziki kiufundi.
Akifafanua kauli yake kwa mapana , Barnaba alieleza kwamba Diamond hajui kuimba kufuatana na alama zote muhimu za muziki, bali hutumia mtindo flani wa kuimba 'kiujanja', mtindo ambao kwa wanaojua kuimba muziki technically huwa wanautumia pale wanapofeli kufuata kanuni za uimbaji wakati wakiimba.
Hata hivyo, alimsifia kwa kuwa 'mjanja' na kuweza kufanya muziki wake kuvutia na kuleta ladha.
Orodha ya wasanii ambao aliwatolea maoni na kusema ni wasanii anaowakubali sana ni pamoja na, Diamond, Ally Kiba, Ditto, Amini na yeye mwenyewe.
Diamond ni msanii anaejua kufakamia jukwaa tu
chige nawewe, una undugu na Mange?? Unamaneno mengiiii, no hard feelings.Barnaba alichoongea ni sahihi sema wengi, hata wale wanaom-support, hawajamwelewa! Kwa mfano, ukiwasoma mashabiki wa Kiba, wanafurahia kauli hii ya Barnaba kumbe, ukiichambua kauli ya Barnaba inawahusu wanamuziki wengi including Kiba mwenyewe! Wao wanafurahia kwavile wanadhani kamponda Diamond kwamba hajui kuimba... wasichojiuliza, inakuaje ikiwa anasema Diamond hajui kuimba halafu bado anamtaja kwamba ni mmoja ya wasanii anaowakubali!
Tatizo lililotokea, Barnaba ametumia neno la kiswahili,kuimba kiufundi lakini kimsingi alichomaanisha ni kutofautisha kati ya professional na unprofessional musician or singer! Sasa linapokuja suala la professional musician or professional singers, majority kama sio wote hakuna professional! Kutokuwa professional hamaanishi haujui kuimba bali hauimbi kiweledi... you know nothing about staff, clefs and notes.. in short, you know nothing about music language na matumizi yake. Katika hili, wasanii wengi including wakongwe hawalifahamu kwa kuwa hawajaenda music school na hawana training na hata wale wanaofahamu kupitia training za hapa na pale, including Barnaba mwenyewe wanafahamu juu juu tu manake music language ni very complex.
Hoja yako hasa ipo wapi?chige nawewe, una undugu na Mange?? Unamaneno mengiiii, no hard feelings.
View attachment 238365
Jana, Wakati akihojiwa na Mwanadada Shadee kwenye Kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Msanii 'Fundi wa Muziki' kutoka nyumba ya vipaji THT, Barnaba Elias 'Barnaba', pamoja na mambo mengi aliyozungumzia, alitoa maelezo kuhusu wasanii watano anaowakubali na sifa zao Kimuziki ambapo alimtaja Msanii wa BongoFleva Diamond Platnumz kuwa sio 'Mwanamuziki' mwenye kujua kuimba muziki kiufundi.
Akifafanua kauli yake kwa mapana , Barnaba alieleza kwamba Diamond hajui kuimba kufuatana na alama zote muhimu za muziki, bali hutumia mtindo flani wa kuimba 'kiujanja', mtindo ambao kwa wanaojua kuimba muziki technically huwa wanautumia pale wanapofeli kufuata kanuni za uimbaji wakati wakiimba.
Hata hivyo, alimsifia kwa kuwa 'mjanja' na kuweza kufanya muziki wake kuvutia na kuleta ladha.
Orodha ya wasanii ambao aliwatolea maoni na kusema ni wasanii anaowakubali sana ni pamoja na, Diamond , Ally Kiba, Ditto, Amini na yeye mwenyewe.
Mbona malimao yanalika kwa chumvi mamaaa ila sikuwezi muimba twaarabu, hahaha narudia tena anguko laja au hamjaona mwimbo wa nyota ukidoda hahaha
Na hicho ndio kinachomfanya aitwe "msanii"...kucheza ndio asili ya mwafrika,maneno wamekuja nayo waarabu...Ndio maana watu wanapenda muziki wa Congo au wa Nigeria japo hawajui msanii anaimba nini..
Kutoa mawazo yako si kumchukia mtu, anyway watu wasiokuwa na akili ya kupambanua mambo kama wewe ndo mnajump into conlusion hiyo, any way wadau wanasema bongoflavour kamwachia kiba yeye kaenda kwenye fani anayoiweza, majungu.com
View attachment 238365
Jana, Wakati akihojiwa na Mwanadada Shadee kwenye Kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Msanii 'Fundi wa Muziki' kutoka nyumba ya vipaji THT, Barnaba Elias 'Barnaba', pamoja na mambo mengi aliyozungumzia, alitoa maelezo kuhusu wasanii watano anaowakubali na sifa zao Kimuziki ambapo alimtaja Msanii wa BongoFleva Diamond Platnumz kuwa sio 'Mwanamuziki' mwenye kujua kuimba muziki kiufundi.
Akifafanua kauli yake kwa mapana , Barnaba alieleza kwamba Diamond hajui kuimba kufuatana na alama zote muhimu za muziki, bali hutumia mtindo flani wa kuimba 'kiujanja', mtindo ambao kwa wanaojua kuimba muziki technically huwa wanautumia pale wanapofeli kufuata kanuni za uimbaji wakati wakiimba.
Hata hivyo, alimsifia kwa kuwa 'mjanja' na kuweza kufanya muziki wake kuvutia na kuleta ladha.
Orodha ya wasanii ambao aliwatolea maoni na kusema ni wasanii anaowakubali sana ni pamoja na, Diamond, Ally Kiba, Ditto, Amini na yeye mwenyewe.
hata kwenye vitabu vya dini tumeambiwa sana anguko la dunia laja siku sio nyingi watu mrudieni Mungu jamani, na sisi tunajiliwaza ponda mali kufwa kwaja.sasa wewe ulitaka diamond adumu milele?? ndio maana kuna kitu kinaitwa historia unazikumbuka hizi terminologies RISE and FALL, kwa sasa muwacheni kijana wa tandale ame RISE jamani hivyo hata ikafika siku aki FALL as u wish hatakaa atoke kwenye kumbukumbu zetu, KWI KWI ni kwa wale ambao hata hawajawahi ku RISE lakini wamesha FALL ndio maana unaona limao zinalika na chumvi kwa sasa.
wewe unachokisubiria kwa hamu kwa sasa ni anguko lake, unatamani hata uwe catalist ili u accelerate hilo anguko lake, ndio maana nikakuambia u beta have sit kwani miguu itapinda hiyo arifuuu.
Nimefurahi kwamba umekiri kuwa kuna ANGUKO, kula tano
Hayo umesema weyeeee mi nimefanya tathmini tu ya huyu domo kuimba twaarab,na majungu atashuka katika level zake, ila mburulaz unajump into that conclusion, sio kosa lako lakini