..... "Barnaba.. He is a bad ass"... Kasema DIVA wa clouuds...

Ukitaka kuisikiliza Clouds statiton unatakiwa uwe MWEHU!
 
According to Oxford Advanced Learner's Dictionary, badass (and NOT bad ass!)means "tough and aggressive".
 
kabarnaba kweli ni kabad ass katika kuimba ni ile kitu watu hawapendi kuisikia ndo inamuangusha!!!!!........APPEARANCE!!!!game ya bongo mauzo muhimu!
Wanawake bana ! Hata Barnaba unazaa nae ! Sasa simtakuwa mnatoa akina Aki na Ukwa !
 
Kuna kila dalili ya chuki binafsi kwenye statement zenu mbonayupo poa tu halafu i can sense wengi mliomdisi ni wasichana sisi wakiume walai tena anatukosha.
 
Kuna kila dalili ya chuki binafsi kwenye statement zenu mbonayupo poa tu halafu i can sense wengi mliomdisi ni wasichana sisi wakiume walai tena anatukosha.

Unakoshwa na barnaba weye!usiwasemee wa kiume wote kama wanakoshwa na huyo babanaba sijui barabana!
 

Umesema kweli kabisa..............na ndio maana kuna VICHAA wenzake ndio wanaosikiliza kipindi chake............... Anayekerwa na utumbo wa huyo MDADA, basi hayupo kwenye list ya audience aliowakusudia................................

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…