Ningekuwa na uwezo ningewashauri wanabodi wote walau tuteue siku moja tujadili suala la umeme. Ni muhimu sana. Uchimbaji unategemea umeme leo wewe unaona umeme haina umuhimu kwenye kulilia discount
Haya ni matokeo ya ile safari ya Canada na mkokoteni wa Farasi,hata Muhongo alikuwepo kwenye ile trip...Tarehe 23 november ndugu MUHONGO akiwa ARUSHA alisema baada ya leseni ya TANZANITE 1 kuisha serikali kupitia kwake aliamua umiliki wa shea za mgodi huo uwe ni 50% kwa mwekezaji na serikali 50% kupitia STAMICO na kwamba hizo 50% za wananchi kupitia STAMICO zitapewa au kuuzwa kwa wanachi kupitia DSE..
Wengi walimpongeza kwa hatua hiyo na kama zoezi la kuuza shea hizo litafanyika kwa uwazi zaidi.nimeona kwenye uzi huu kuwa masharti ya mkataba wa umiliki wa mgodi wa NYAMONGO utaendelea kama ulivyokuwa. swali ni je share zimekaaje katika mgodi huo?zilikuwa ni 50%/50% kabla ya kuhuisha SML tena?.
Kama si hivyo basi kutakuwa na doublestandards ktk maamuzi ya serikali..kila mara nimekuwa niki quote "NOTHING ABOUT US WITHOUT US"Dhahabu ni zetu kwa ajili yetu na watoto wetu. Kama watanzania lazima tuhakikishe mikataba mibovu isirudiwe tena
Umiliki wao wa vitalu kwa maana ya terms and conditions za mkataba?Database ya umiliki wa vitalu inayolipiwa dola 100 ili kuweza kuiona ina information gani usefull?Wewe unadhani hizo taarifa zitaelewekaje kama zikipatikana,whats in the details?Sikubaliani moja kwa moja hapa
Kila mtanzania anaweza kupata database ya wamiliki wote wa vitalu ya uchimbaji na taarifa zao kwa Dola 100 tu, hapa simaanishi mgodi unachimba kiasi gani, bali umiliki wao wa vitalu ukoje.
Ishu ni je, taarifa hizi tunazielewa? Tuzitumieje?
Any fool can know,the point is to understand!Yale yale!
Unakubaliana na Zitto mikataba iwekwe wazi halafu unauliza "is this the real solution?"..."ikiwekwa wazi tutazuia vipi....?" Wewe ndio unakubaliana nae halafu huelewi kwa nini unakubaliana nae! Doesn't make any sense...
Mkuu jmushi1 huyo Muhongo nilimuona anaweza kuwa mkombozi wa Watanzania kuhusiana na mikataba ya madini ambayo haina maslahi pale alipotangaza kwamba makampuni yote ya uchimbaji wa madini nchini yaanze mara moja kulipa kodi ya 30% au wafungashe virago lakini naona kauli yake ilikuwa ni usanii tu. Haijulikani ni lini makampuni hayo yataanza kulipa kodi hiyo au kodi hiyo ndio imeshakufa kinyemela. Kwa maoni yangu mpaka sasa sioni tofauti yoyote kati ya Ngeleja na Muhongo.
Tanzania tells mining companies to pay 30 pct corporate tax | Reuters
What next? The way forward pleaseee...mie nishachoka na manunguniko plus lawama za kila siku za watz...niambieni tufanye nini sasa?
Hebu niulize, tulitaka wanyimwe?
Kwa kutumia sheria na taratibu zipi??
Mkuu BAK huyu waziri kiukweli anayo nia njema sana ya kuleta mabadiliko pale wizarani kwa manufaa ya taifa lakini nahisi bosi wake anamuwekea mizengwe. Kama utakumbuka pia alikaririwa akisema kuwa mikataba ya gesi yote inabidi ipitiwe upya kwa manufaa ya taifa, lakini cha kushangaza siku chache baadaye katibu wake mkuu akasema watu hawakumwelewa vizuri waziri na serikali haina mpango wa kupitia mikataa hiyo (wanatufanya sisi wajinga kweli). Sasa ukiangalia kwa undani hapa unaona kuwa kulikuwa na agizo toka juu la kukanusha kauli hiyo ya waziri in favour of the so called wawekezaji (majangili wa mali zetu). Pia Muhongo alishaanza kuwatemea cheche Symbion kuhusu mabilioni wanayolipwa lakini baadaye katulizwa na wakubwa wake. Kwa kifupi JK na CCM yake ni janga la kitaifa.
Basi ni bora huo mkataba wako ungesema "huu mkataba ni wa milele, hauna mwisho"! Kuna maana gani ya kuwa na termination clause iwapo mkataba lazima uongezwe kila unapoisha? No such thing in contracts.Unless kama kwenye mkataba wa awali tulikubaliana kuwa ukiisha lazima tu-renew tena under the same terms and conditions.
Basi ni bora huo mkataba wako ungesema "huu mkataba ni wa milele, hauna mwisho"! Kuna maana gani ya kuwa na termination clause iwapo mkataba lazima uongezwe kila unapoisha? No such thing in contracts.
Since the issue of the original SML 12 years ago, the mine had produced over 2-million ounces of gold and had a further 3.5-million ounces of gold remaining in reserves.
Subiri watauzia Wachina huo mgodi.
Sasa unapoteza staha. Kisa, umekosolewa, unataka kupachafua hapa.unaonyesha kuwa you don't even know about the law of contract.
Not necessarily, mkataba si lazima uwe kati ya pande mbili. Unapotumia lugha za "hata hujui kuhusu the law of contracts" hakikisha na wewe huchemki chemki, you don't want to be dubbed a bush lawyer!Mkataba ni baina ya pande mbili.
Hujasema chochote kuhusu hoja yangu. Narudia: Unaposema watu wanaweza kukubaliana kwamba "mkataba huu ukiisha ni lazima uongezwe" hauleti maana. Kutakuwa na maana gani kuuwekee mkataba muda wa kuisha kama ukiisha ni lazima uongezwe? You are just not making any sense, hakuna kitu kama hicho kwenye mikataba!Mnaweza kukubaliana kuwa kusiwe na termiantion clause.
Pia mnaweza kukubaliana mkataba uongezwe on the same terms kama ukiisha.