Wewe ni mpumbavu!Unapoandika tumeuziwa mbuzi kwenye gunia maana yake una uhakika... Wenzako hua wanaandika "tetesi" hujachelewa unaweza kubadili kichwa cha habari.
Vijana wa Zitto mnafundishwa kutukana tu
Kwani hiyo miaka 20 Tanzania haitakuwepo boss? Usiangalie leo tu. Tanzania itakuwepo milele hivyo hata kama itakuwa miaka 50 ijayo hayo ni mambo ya kitaifa siyo ya raia anayeishi leo tu.Unaweza kuta hiyo faida inayosemwa itapatika baada ya miaka 20, humu katikati watakwambia tunarudisha hela yetu ya uwekezaji.
Jibu zuri kabisa , hawa vijana hawana wanachopongeza na hawajui wanachokishabikiaUmejuaje kama tumeuziwa mbuzi kwenye gunia?
Nilitegemea utatoa ufafanuzi kivipi hiyo 84/16 na 50/50 haiko sawa.
Aint no fear in what this administration has done so far. In fact we have demonstrated that an African country can take the bull by the horns, like a maverick, the GOT was able to renegotiate with the giant and retake what was rightfully so.Nonsense.
Why do you fear the unknown things?
Temerity is very important in this world when you want to be a successful one. But if you keep cuddling fears, you will not get where you want. Some challenges are there just to make you grow stronger, etc.
Anza na Tullow oil kule Lokichar. Wanajitea mafuta!Nonsense.
Why do you fear the unknown things?
Temerity is very important in this world when you want to be a successful one. But if you keep cuddling fears, you will not get where you want. Some challenges are there just to make you grow stronger, etc.
Rejea maandiko ya Ndugu yetu Pascal Mayalla ameweka ufafanuzi mzuri Sana na kwa hakika kama unataka kuwa mjuvi wa mambo mengi ni nzuri kuwa mpenda kusoma Sana na uwe mchambuzi mzuri wa hoja bila kuwa biose wakati wa kuchambua mamboTumeambiwa kuwa serikali inamiliki hisa 16 na mabeberu watamiliki hisa 84 lakini wakasema faida itakuwa 50/50! Kama ni hivyo kwa nini na hisa zisiwe 50/50? Nahisi kuna kitu hakiko wazi naomba kama kuna mtu mwenye ufafanuzi wa hili anisaidie
Partly agreed.Aint no fear in what this administration has done so far. In fact we have demonstrated that an African country can take the bull by the horns, like a maverick, the GOT was able to renegotiate with the giant and retake what was rightfully so.
Now, the GOT under President Magufuli has set a precedent for other countries to follow, no one had the balls to do this before. We closed their offices in London and South Africa and opened them in Mwanza, we took their money away from their banks in London and kept them in Tanzania so our local economy can benefit. If that's not gangsta I don't know what is?
Ukiona mtu anaanza kuleta argument kama hizi zako tambua kwamba ameishiwa hoja.Anza na Tullow oil kule Lokichar. Wanajitea mafuta!
Kenya's first oil sale shrouded in secrecy as State withholds details
Oil is on its way to China but State will not reveal identity of buyer or bidding process.www.theeastafrican.co.ke
Sawa kuna ongezeko la shares,lakini tumeshindwa vipi ku-negotiate mpaka ikafika 50%.Nini kiko nyuma ya pazia?Mkuu 50/50 maana yake ni tutakacho pata ni hiyo 16% pamoja na kodi + tozo nyingine na hivyo visizidi 50% ya hizo economic benefit. Matokeo yake ni kwamba hata shares zetu ingawa sheria inaruhusu kuziongeza hadi 50% makubaliano haya na BARRICK hayataruhusu kwani kwa kufanya hivyo itabidi mgawane 50/50 lakini hapo hujaweka kodi na tozo nyingine ambazo mgao wa GoT utavuka 50%. BARRICK wamejilinda au wamelindwa na serikali hapo kitu ambacho wataalamu wa HAKIRASILIMALI wanasema ni kinyume na sheria zetu wenyewe. Hivyo lugha hiyo kwa sisi tusiofahamu ni mziki mtamu kisiasa kama wengi wanavyofurahia hapa. Kitu pekee cha kufurahia ni hiyo 16% from ZERO (0) %.
Unapoandika tumeuziwa mbuzi kwenye gunia maana yake una uhakika... Wenzako hua wanaandika "tetesi" hujachelewa unaweza kubadili kichwa cha habari.
Vijana wa Zitto mnafundishwa kutukana tu
Siwezi kusoma maandiko mtu asiyekuwa na mawazo huru kama yeyeRejea maandiko ya Ndugu yetu Pascal Mayalla ameweka ufafanuzi mzuri Sana na kwa hakika kama unataka kuwa mjuvi wa mambo mengi ni nzuri kuwa mpenda kusoma Sana na uwe mchambuzi mzuri wa hoja bila kuwa biose wakati wa kuchambua mambo
Tueleze wewe unayejua kuliko sisiKwa hiyo wewe unaakili sana kuliko wataalamu waliojadili na kufikia matokeo hayo?
Kibaya zaidi unahisi. Wataalamu hawajafanya mambo kwa kuhisi. Kuna wataalamu wa uchumi, mipango na sheria hapo. Wabongo tuache longolongo za kuzungumzia tusiyoyajua kuonesha tunayajua.
Labda, nasema labda tu...
16% hisa + 4% mrabaha wa madini + 30% corporate tax = 50%
Ndio maana na wewe hujui mambo mengi yanavyokwenda ya BarrickSiwezi kusoma maandiko mtu asiyekuwa na mawazo huru kama yeye
Kwa uelewa wa maandishi kama yatakuwa hivyo ni kuwa Sheria ya madini 2010 na marekebisho yake 2017 inaeleza kuwa kwa Mgodi wowote unaoanza serikali itakuwa na hisa bure(Free) 16% na Mwekezaji 84% hii ni kuwa uendeshaji na shughuli zote zitakuwa za muwekezaji bila serikali kuweka chochote, ila serikali inauhuru wa kuongeza umiliki mpaka 50%, na hii 50/50 ni mgawanyo wa faida baada ya kutoa gharama za uendeshaji. Kama itafanyika hivyo kweli itakuwa faida kwa nchi
Kwa jinsi ambavyo nimeelewa ni kwamba kampuni itakapokuwa inafanya kazi mwekezaji lazima awe anarudisha kwenye capital yake aliyoinvest, yeye atakuwa amewekeza katika mitambo na ujenzi wa infrastructure achilia mbali man power, sisi mtaji wetu ni ardhi na madini. Katika exploration ya madini walishakadiria kiasi kilichopo na possible extraction kwa mwaka. Kwa mkadirio huo wameshaproject mpaka kipindi mgodi utakuwa exhausted.
Kwa hiyo sasa watakapokuwa wanaanza kazi tu watakapo kuwa wanarudisha capital invested amount itakayokuwa inarudishwa itagawanywa kwa mgawanyo huu Barick 86% na Tanzania 16%. Kama kutakuwa na net profit basi hiyo itagawanywa 50 kwa 50.
Faida ya haya makubaliano ni kwamba hata kama hakutakuwa na net profit basi anaporudisha kwenye capital yake na kwetu kwenye ardhi tupate walao 16% ya kila atakachokuwa anarudisha kwenye mtaji wake.
Tofauti na zamani mwekezaji anakuja anapewa grace period ya miaka mitano kwa madai kwamba anarudisha capital aliyoinvest ikiisha miaka mitano anajifanya anaondoka anakuja mwingine naye anaanza hivyo hivyo.
Sasa hivi apate faida au asipate lazima nasi tupate 16% ya kiasi anachorudisha kwenye capital yake. 50/50 inatumika kwenye kugawana faida halisi.
Kumbuka kwa sasa hata serikali itakuwa na watu wake kwenye management.
Yes 50/50Tumeambiwa kuwa serikali inamiliki hisa 16 na mabeberu watamiliki hisa 84 lakini wakasema faida itakuwa 50/50! Kama ni hivyo kwa nini na hisa zisiwe 50/50? Nahisi kuna kitu hakiko wazi naomba kama kuna mtu mwenye ufafanuzi wa hili anisaidie
Muongo weweKwa tunao miliki kampuni tumeelewa 100%, pongezi kwa serikali
Wewe unaona iko sawa? Ufafanuzi autoe yeye au wahusika? Dah!Umejuaje kama tumeuziwa mbuzi kwenye gunia?
Nilitegemea utatoa ufafanuzi kivipi hiyo 84/16 na 50/50 haiko sawa.