Barrick na Tanzania waunda Kampuni ya ubia iitwayo Twiga Minerals na Serikali itamiliki asilimia 16

Elezea tu Mkuu... Tutaokota hata kidogo
 
Na baada ya kupewa ufafanuzi anayo nafasi ya kuuliza pale ambapo hakuelewa. Lakini badala ya kufanya hayo anakuja na preconceived conclusions kuwa tumeibiwa mara tumeuziwa sijui mbuzi, sijui kondoo kwenye sijui gunia, sijui ndoo, basi shida moja kwa mbili!
 
Wahasibu na wadau wote wa mahesabu, kama kuna closing stock, opening stock na annual dividend, dividend per share, mmoja anamiliki 84% shares, mwingine 16% shares, ni dhahiri kwenye (dividend) hapo ndiyo kuachana kama mbingu na ardhi, hakuna cha "win win situation". Niambie ni mazingira gani wanakula 50/50. Mbuzi mwenye kamba ndefu ndiye ana chance ya kula majani mengi zaidi.
 
Ongezea na 1% inspection fee (kama madini watayasafrisha nje). Kwa ujumla
1. Royalities = 6%
2. Corporate tax 30%
3. Inspction fee 1%
TOTAL CONTRIBUTION = 37%. Ambapo ktk ubia GOT inachangia "LAND" wakt wao watachangia " TECHNOLOGY na MACHINE/TOOLS.
Hizo corporate tax weka pembeni kwanza kwa sababu inategemea NET Profit, akipata hasara hauna chako hapo uhakika ni asilimia 7 tu
 
Hizo corporate tax weka pembeni kwanza kwa sababu inategemea NET Profit, akipata hasara hauna chako hapo uhakika ni asilimia 7 tu
Tangu lini biashara ya dhahabu ikaendeshwa kwa hasara?
 
Bora tungekosa tu duuuh 2%
 
Yaani uwe na share 16% mwenzako awe na 84 halafu utudanganye ni 50 kwa 50 haiwezekani
 
Hawa ni mzigo kwa Taifa.
 
Waziri husika yuko wapi hapa,mbona wa Mambo nje ?
nani anamuwakilisha raisi katika Mikataba ya madini ikiwa kampuni imesajiliwa ndani ya nchi?
Kulikoni?
 
WACHA MAYAHUDI WALE VYAO,
MADHALI BADO WAJINGA TUNGALIPO .
AFRIKA SHAMBA LAO.
MUNGU SI MJINGA KUFANYA PUNDA MILIA WENGI BILA MAKUCHA,
NA SIMBA WACHACHE WENYE MAKUCHA NA NGUVU.
WANAKULA WAPENDAPO,JAPO KWA MIKIKI KIDOGO,LAKINI WAO NDO WAFALME WA MWITUNI.
Sisi tukijengewa daraja Baharini,na Uwanja wa Mpira mzuri,na majumba mawili marefu pale Posta inatosha.
Hizo $300 milioni zitaisaidia CCM kwenye uchaguzi 2020 kuwapa raia ili wawape kura,kwisha tutapigiwa vinanda vya mapambio nakuusifu utawala uliopo,maisha yanaendelea,Huku raia wakiendelea kusaga rumba.

NATAMANI ZANZIBAR TUCHIMBE MAFUTA NA GESI ILI NASISI TUTAZAME KAMA TUTAPATA ANGALAU MKIA WA MBUZI KAMA RAIA WA QUWAIT? MAANA SISI TUKO KIDOGO.Raia wote ni 1.5M rahisi sana kugawana hizo $300m kama zingekuwa zetu kila raia angelipata $200 angaalu.
 
Yaani uwe na share 16% mwenzako awe na 84 halafu utudanganye ni 50 kwa 50 haiwezekani
Nadhani kuna ulazima wa shule juu ya suala la HISA na KUGAWANA FAIDA. Wale wenye uelewa wa masuala haya njooni muokoe jahazi jamani. Kwani wakizidi kusema wale wale itaonekana kama tuna itetea serikali na haya mapatano adhimu iliyoafikiana na Barrick. Jamani saidieni kwenye hili, hata kama ni kutoa ufafanuzi kwa mifano ya umiliki wa HISA hapo Dar-e-s-Salaam Stock Exchange!
 
Nini maana ya ubia kama anayelipa kodi zote ni mmoja?
Ubia maana ya ni mgawanyo wa faida baada ya kodi yaani gawio. Fahamu kuwa kampuni ni kama mtu anayejitegemea. Wenye hisa wanaweka pesa kwake ili azizalishe kwa hiyo hata serikali ikinunua hisa ni lzm iweke pesa. Hapo itaweka 16% ya jumla ya mtaji watakaokubaliana na kutakuwa mjumbe wa serikali kwenye bodi ya hiyo kampuni. Kampuni ikipata faida na kulipa kodi zote albaki inagawanywa serikali 16% na Barrick 84%. Mrabaha ni sehe
 
Vipi kuhusu kinu cha kuchenjulia makinikia kinajengwa au hakijengwi?

Kabla ya sheria mpya serikali ilikua na hisa asilimia ngapi,mrabaha na kodi ilikua inapata asilimia ngapi?
 
Tueleze wewe unayejua kuliko sisi
You've hot no entitlement to command me, bro. Will you pay for the costs of my counsel and consultancy fee? Hapa mjini kila wazo lenye utaalamu ndani yake halitoki bure kwenda kwa mwingine.
 
Serikali imejipanga vipi kuwezesha makampuni ya ndani ambayo ni ya wazawa ili yaweze kutake over hizi oppottunities
 
You've hot no entitlement to command me, bro. Will you pay for the costs of my counsel and consultancy fee? Hapa mjini kila wazo lenye utaalamu ndani yake halitoki bure kwenda kwa mwingine.
sorry ms flatterer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…