Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Elezea tu Mkuu... Tutaokota hata kidogoWewe ndiyo huelewi kabisa!
16% siyo mrabaha bali ni free carried share. Kabla ya hapo tulikuwa na 10% free carried share. Kwa hiyo imeongezeka 6%. Ila kiuhalisia, iwe 10 au 16%, hakuna chochote cha maana. Ungekuwa na uelewa kidogo wa mining industry ningekuelewesha kwa nini nasema hivyo.
Kwa upande wa mrabaha, wakati wa Mkapa tulikuwa na 3%. Wakati wa Kikwete ilipngezwa na kuwa 4%. Sasa tuna 6%. Kwa hiyo imeongezeka 2%.
Kiuhalisia, kwa vurugu zote tulizozifanya kwenye sekta ya madini, tulichokipata kikubwa ni 2% royalty, nothing else.
ArdhiUkiwa na hisa maana yake unachangia gharama pia. Mbona mimi naona tumeingizwa chaka, tunaweza kweli kuchangia gharama?.
Na baada ya kupewa ufafanuzi anayo nafasi ya kuuliza pale ambapo hakuelewa. Lakini badala ya kufanya hayo anakuja na preconceived conclusions kuwa tumeibiwa mara tumeuziwa sijui mbuzi, sijui kondoo kwenye sijui gunia, sijui ndoo, basi shida moja kwa mbili!Kama ulikuwa unaomba msaada wa ufafanuzi maana yake huelewi, sasa kwanini una assert kuwa tumeuziwa mbuzi kwenye gunia? That is a logical fallacy. Ilibidi uombe ufafanuzi, na baada ya ufafanuzi huo, uwe kwenye nafasi ya kusema kuwa tumeuziwa mbuzi kwenye gunia au la!
WEYE UPENDE TU!napenda ule mwimbo wa Rajyvany unaitwa UNAIBIWAA!!!!
Wahasibu na wadau wote wa mahesabu, kama kuna closing stock, opening stock na annual dividend, dividend per share, mmoja anamiliki 84% shares, mwingine 16% shares, ni dhahiri kwenye (dividend) hapo ndiyo kuachana kama mbingu na ardhi, hakuna cha "win win situation". Niambie ni mazingira gani wanakula 50/50. Mbuzi mwenye kamba ndefu ndiye ana chance ya kula majani mengi zaidi.Waziri wa Mambo ya Nje, Prof Palamagamba Kabudi ametangaza leo kuwa Serikali kwa kushirikiana na Barrick Gold Corporation wameunda kampuni ya ubia inayoitwa Twiga Minerals Corporation.
Katika kampuni hiyo Serikali ina hisa asilimia 16 na Barrick asilimia 84.
======
Baada ya mgogoro uliodumu kwa takribani miaka miwili tangu mwaka 2017, Kampuni ya Barrick na Serikali zimeunda kampuni ya Twiga itakayosimamia migodi mitatu iliyokuwa chini ya kampuni ya Acacia.
Kwenye kampuni hiyo mpya, Barrick itamiliki asilimia 84 ya hisa zote huku Serikali ikiwa na asilimia 16. Utaratibu huo ni utekelezaji wa sheria mpya ya madini iliyopitishwa mwaka 2017.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini , Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Profesa Palamagamba Kabudi amesema ‘sasa amezaliwa mtoto mpya baada ya Barrick kukubali kumuua mtoto wake, Acacia.’
Mgogoro kati ya Serikali na kampuni ya Acacia iliyokuwa inasimamia migodi ya Buzwagi, North Mara na Bulanhulu ulianza mwaka 2017 na Rais John Magufuli akaunda tume ya kuchunguza mwenendo wa biashara ya madini.
Tume hiyo ilibaini ukiukwaji wa sheria, utaratibu na kanuni zilizopo hivyo kuikosesha Serikali mapato inayostahili. Kutokana na hilo, Serikali iliipiga faini ya Dola 190 bilioni jambo lililosababisha kuanza kwa mzungumzo baina ya pande hizo mbili.
Bado undani wa makubaliano/mkataba huo haujawekwa wazi hadi Mwanasheria Mkuu wa Serikali apitie mkataba wa makubaliano hadi ifikapo mwezi ujao (Novemba 2019).
Hizo corporate tax weka pembeni kwanza kwa sababu inategemea NET Profit, akipata hasara hauna chako hapo uhakika ni asilimia 7 tuOngezea na 1% inspection fee (kama madini watayasafrisha nje). Kwa ujumla
1. Royalities = 6%
2. Corporate tax 30%
3. Inspction fee 1%
TOTAL CONTRIBUTION = 37%. Ambapo ktk ubia GOT inachangia "LAND" wakt wao watachangia " TECHNOLOGY na MACHINE/TOOLS.
Tangu lini biashara ya dhahabu ikaendeshwa kwa hasara?Hizo corporate tax weka pembeni kwanza kwa sababu inategemea NET Profit, akipata hasara hauna chako hapo uhakika ni asilimia 7 tu
Kwani biashara ngapi za madini zimefungwa? Waulize STAMIGOD watakujibu swali lakoTangu lini biashara ya dhahabu ikaendeshwa kwa hasara?
Bora tungekosa tu duuuh 2%Wewe ndiyo huelewi kabisa!
16% siyo mrabaha bali ni free carried share. Kabla ya hapo tulikuwa na 10% free carried share. Kwa hiyo imeongezeka 6%. Ila kiuhalisia, iwe 10 au 16%, hakuna chochote cha maana. Ungekuwa na uelewa kidogo wa mining industry ningekuelewesha kwa nini nasema hivyo.
Kwa upande wa mrabaha, wakati wa Mkapa tulikuwa na 3%. Wakati wa Kikwete ilipngezwa na kuwa 4%. Sasa tuna 6%. Kwa hiyo imeongezeka 2%.
Kiuhalisia, kwa vurugu zote tulizozifanya kwenye sekta ya madini, tulichokipata kikubwa ni 2% royalty, nothing else.
Hao stamigold mbona wametoa gawio kwa serikali?Kwani biashara ngapi za madini zimefungwa? Waulize STAMIGOD watakujibu swali lako
Hawa ni mzigo kwa Taifa.Na baada ya kupewa ufafanuzi anayo nafasi ya kuuliza pale ambapo hakuelewa. Lakini badala ya kufanya hayo anakuja na preconceived conclusions kuwa tumeibiwa mara tumeuziwa sijui mbuzi, sijui kondoo kwenye sijui gunia, sijui ndoo, basi shida moja kwa mbili!
WACHA MAYAHUDI WALE VYAO,Wewe ndiyo huelewi kabisa!
16% siyo mrabaha bali ni free carried share. Kabla ya hapo tulikuwa na 10% free carried share. Kwa hiyo imeongezeka 6%. Ila kiuhalisia, iwe 10 au 16%, hakuna chochote cha maana. Ungekuwa na uelewa kidogo wa mining industry ningekuelewesha kwa nini nasema hivyo.
Kwa upande wa mrabaha, wakati wa Mkapa tulikuwa na 3%. Wakati wa Kikwete ilipngezwa na kuwa 4%. Sasa tuna 6%. Kwa hiyo imeongezeka 2%.
Kiuhalisia, kwa vurugu zote tulizozifanya kwenye sekta ya madini, tulichokipata kikubwa ni 2% royalty, nothing else.
Nadhani kuna ulazima wa shule juu ya suala la HISA na KUGAWANA FAIDA. Wale wenye uelewa wa masuala haya njooni muokoe jahazi jamani. Kwani wakizidi kusema wale wale itaonekana kama tuna itetea serikali na haya mapatano adhimu iliyoafikiana na Barrick. Jamani saidieni kwenye hili, hata kama ni kutoa ufafanuzi kwa mifano ya umiliki wa HISA hapo Dar-e-s-Salaam Stock Exchange!Yaani uwe na share 16% mwenzako awe na 84 halafu utudanganye ni 50 kwa 50 haiwezekani
Ubia maana ya ni mgawanyo wa faida baada ya kodi yaani gawio. Fahamu kuwa kampuni ni kama mtu anayejitegemea. Wenye hisa wanaweka pesa kwake ili azizalishe kwa hiyo hata serikali ikinunua hisa ni lzm iweke pesa. Hapo itaweka 16% ya jumla ya mtaji watakaokubaliana na kutakuwa mjumbe wa serikali kwenye bodi ya hiyo kampuni. Kampuni ikipata faida na kulipa kodi zote albaki inagawanywa serikali 16% na Barrick 84%. Mrabaha ni seheNini maana ya ubia kama anayelipa kodi zote ni mmoja?
You've hot no entitlement to command me, bro. Will you pay for the costs of my counsel and consultancy fee? Hapa mjini kila wazo lenye utaalamu ndani yake halitoki bure kwenda kwa mwingine.Tueleze wewe unayejua kuliko sisi
sorry ms flattererYou've hot no entitlement to command me, bro. Will you pay for the costs of my counsel and consultancy fee? Hapa mjini kila wazo lenye utaalamu ndani yake halitoki bure kwenda kwa mwingine.