Barua kutoka Kijijini

Nyati

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2009
Posts
2,521
Reaction score
1,906
Nimepokea barua hii toka kijijini naomba msaada wa hali na mali kumwezesha DOGO. Nitawatumia namba wale tu waliotayari kusaidia tu siyo wale wanaokebehi

 

Attachments

  • Mchango.png
    131.9 KB · Views: 91
Huyo kawashinda wote kutoka mwisho, tuma no ya Tgo Pesa tumuwezeshe dogo.
 
Unataka kumsaidia kwa lipi KUOA au KUENDELEA NA SHULE?
 
He,

mdogo wako kumbe ziro hivyo , sasa nimeelewa kwa nini post zako huwa za ajabu ajabu!
 
Unataka kumsaidia kwa lipi KUOA au KUENDELEA NA SHULE?
Nataka kumwezesha kuoa kwanza kwani ndo option yake huyooooooooooooooo
 
He,

mdogo wako kumbe ziro hivyo , sasa nimeelewa kwa nini post zako huwa za ajabu ajabu!

We umejiunga juzi tu umenijuaje? Kwa taarifa yako kijijini kwetu sisi ndo Genius!!. Kama umepotea ukiuliza lazima useme ule ukoo wa VIPANGA ndo unaletwa kwetu
 
hahahaahaaaaa....
Ndo maana alipata division four

Huyu bwana ni Kichwa ila yale aliyoyasoma bahati mbaya hayakuwemo katika mtihani alinieleza hivyo kabla hata ya matokeo
 
Nimepokea barua hii toka kijijini naomba msaada wa hali na mali kumwezesha DOGO. Nitawatumia namba wale tu waliotayari kusaidia tu siyo wale wanaokebehi

View attachment 55648

Anhaaa, nimeshakumbuka! huyu ndo aliyeandikaja mistari ya bongo fleva kwenye mtihani wa form four mwaka jana. Mi najitolea kumsaidia, pale kinondoni kuna mtaa fulani maarufu kwa kuuza line za TIGO! Aje pale atapata frem yake, free of charge auze line za TIGO hadi mahari atakapotimia ili akaoe.
 
Hii dunia ina vituko sana, huyu kijana ndo kwanza kamaliza shule na kupata division four, analalamika kuwa wenye divison one wanaendelea na masomo, alitegemea hao wenye div one waachwe achukuliwe yeye mwenye four???

Anyway back kwenye kuomba mchango, anakimbilia nini kuoa angali hana hata hela ya kuanzia maisha baada ya kuoa? Mke atamtunza vipi? Na ataimudu vipi familia yake?

Mshauri kama ana nia ya kusoma, arudi shule ku-reseat mitihani yake na kama hana mpango wa shule, atafute shughuli za kufanya kama biashara au mambo ya kilimo. Kwa elimu ya form four, kuna shughuli nyingi tu anaweza kufanya na zikamuungizia kipato badala ya kukimbilia kuoa.

Binafsi ningeshawishika kumsaidia kama angeniomba mchango wa ada na gharama za kurudi shule au namna ya kuanzisha biashara, vinginevyo nasikitika sintaweza. Anisamehe bure.
 


Huyu anataka kuendeleza ukoo wetu ndo maana anakimbilia kuoa.
 
Kuna watu wanaakili sana sema wamekosa wa kuwaindeleza!
 
wee Nyati kwanini unatuvunja mbavu, sasa hapo anaongezewa pesa au analipiwa mahari yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…