lost Crown prince
Member
- Jun 12, 2015
- 58
- 24
Mpendwa, mke wangu mtarajiwa,
Natumaini ni mzima wa afya huko uliko, yawezekena ni mpweke kwa sasa na unafikiria sana namna gani tutaweza kukutana mmi na wewe, napenda nikutoe shaka, kuwa na subira mda ukifika tutakutana malkia wangu!, Ama yawezekena upo kwenye mapenzi yasiyo kuwa na afya, umpendae kwa sasa anakuumiza moyo wako, usiwe na hofu daktari wako nipo njiani nakuja kukuondolea maumivu ya moyo, malkia wangu ni mmi peke nayejua thamani yako maana uliumbwa kwa ajili yangu,pendo langu ni la milele kwako maana wewe ndio ubavu wangu wa kushoto, najua malkia wangu unamzigo mzito usijali mimi nitaubeba na pia najua unamaadui wengi usijali mimi nitakulinda maana Mungu amekwisha nipa nguvu, malkia wangu, baba, mama na ndugu zangu wanapenda siku moja wakuone wanataka waishi nawe wanakusubiri kwa hamu sana, nimewambia malkia wangu, anamoyo wa dhahabu anapendwa na watu kutokana na matendo yake yanayowapendeza watu wema, malkia wangu nipo njiani nakusibiri nikupeleke kwetu.
Uipatapo barua hii naomba uni pm ilituweze kuwasiliana
Ni mimi wako mmeo mtarajiwa
Natumaini ni mzima wa afya huko uliko, yawezekena ni mpweke kwa sasa na unafikiria sana namna gani tutaweza kukutana mmi na wewe, napenda nikutoe shaka, kuwa na subira mda ukifika tutakutana malkia wangu!, Ama yawezekena upo kwenye mapenzi yasiyo kuwa na afya, umpendae kwa sasa anakuumiza moyo wako, usiwe na hofu daktari wako nipo njiani nakuja kukuondolea maumivu ya moyo, malkia wangu ni mmi peke nayejua thamani yako maana uliumbwa kwa ajili yangu,pendo langu ni la milele kwako maana wewe ndio ubavu wangu wa kushoto, najua malkia wangu unamzigo mzito usijali mimi nitaubeba na pia najua unamaadui wengi usijali mimi nitakulinda maana Mungu amekwisha nipa nguvu, malkia wangu, baba, mama na ndugu zangu wanapenda siku moja wakuone wanataka waishi nawe wanakusubiri kwa hamu sana, nimewambia malkia wangu, anamoyo wa dhahabu anapendwa na watu kutokana na matendo yake yanayowapendeza watu wema, malkia wangu nipo njiani nakusibiri nikupeleke kwetu.
Uipatapo barua hii naomba uni pm ilituweze kuwasiliana
Ni mimi wako mmeo mtarajiwa