Barua kwa mpenzi wa kwanza

Barua kwa mpenzi wa kwanza

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
2,044
Reaction score
4,558
Since tumeonana I never thought kama ingekua hivi leo, I was young I know and I knew nothing about love! I never believed love existed, I only saw it in TV shows and movies.

You are the one that taught me, wewe ndo ulianza kuonesha affection kwangu, I was afraid coz moyo wangu ulikuwa mbichi na sikuweza kuhimili emotion na upendo ulioelekeza kwangu. I was too freaky I know but that's how it was, sijilaumu na sikulaumu pia.

Is it because umekua now, umepata mwingine anaye weza kukidhi mahitaji? Or bado unanichukia kwa sababu ya kushindwa kurudisha upendo kwako kipindi kile? Au ndo hivyo tu watu hubadilika kutokana na mda kwenda? Honestly sijui but am in love with you and I'll always love you.

First love, najua Kila mtu anamipango na majukumu kutokana na njia tulizo chagua kwenye maisha, ila hili haliwezi kamwe kuvunja bond tuliyo nayo. Sitokuja kukusahau kamwe katika maisha yangu, you made me learn about loving people. Time goes so fast siamini kweli ulikuja na kuondoka, ni kama njozi inayojirudia mara kwa mara. I hope umepata mwenza atakae kujali na kukupa upendo unao stahili.

Nimepata mwenza pia, ila nipo nae kwa sababu mimi ni binadamu pia nahitaji upendo, just like you. Ila ni kama najaribu kufunikia mfuniko wa sufuria kwenye hotpot. Ila sina cha kufanya inabidi maisha yaendelee. Dunia haikupi unachotaka inakupa unachostahili, sina budi kukubaliana na huu msemo.

Miaka 15 imepita na bado ni kama jana, zile moments tulizo kuwa pamoja omg how did that end? Hakika nafasi uipatayo leo, hugeuka kuwa majuto endapo utaichukulia kawaida. You've gone so fast na ulikimbia 100mph kukupata ikawa vigumu. Nilimove on nikapata wanawake wengine ila uhalisia naujua mwenyewe.

Nakwenda kuwa baba soon, mungu akijaalia ila sijui itakuaje? Nahisi nitazidi kukusahau labda, mipango na majukumu yatanipa stress nyingi nikusahau? Ila yote kwa yote bila wewe huenda nisingempata mpenzi anaye nijali kiasi hiki. Upendo wake kwangu hunikumbusha mengi kukuhusu. Na sasa anakwenda kunizalia naona kabisa memories na ndoto kukuhusu zikifutika polepole, ila kaa ukijua nilikupenda na sitokusahau.

Sijapata taarifa yoyote kukuhusu toka tuwasiliane, ila hope unaendelea na maisha huko uliko. Nakutakia maisha mema na utimize malengo yako.

To you,
First love.

Unamaneno au ujumbe kwa first love? Je bado unamkumbuka au ndo ishapita ivyo? Akirudi utamkubalia? Shuka kwa comments!
 
I just hope she is doing okay. She moved on to find a better man. It was the right decision, no grudges. The shoes fit her, but she was the wrong princess

I've found the right shoe owner, and she's my better half. I still remember you Angel, you are my soulmate. Hoping you are always happy, you being sad burdens me.

To wake up and carry the heavy load all day, is the right punishments.

WTF mleta mada
 
Mpenzi wa kwanza ni Sabuni, kwa mwanaume aliebareh akiwa timamu.

Vipi wewe bado unamkumbuka na uko tayari kurudiana nae?
Kupasha kiporo ni kama kuimba wimbo wa taifa, haichuji.
Utakataaje mzigo kirahisi bila sababu za msingi

Ila kama kurudiana na ex ni kama kuyarudisha matapishi mdomoni, sikushauri...
 
Kupasha kiporo ni kama kuimba wimbo wa taifa, haichuji.
Utakataaje mzigo kirahisi bila sababu za msingi

Ila kama kurudiana na ex ni kama kuyarudisha matapishi mdomoni, sikushauri...
Sahihi.
 
Nina wapenzi wa kwanza wengi. Wa kwanza Mimi kumpenda, yeye hakunipenfa.

Wa kwanza sisi sote kupendana na hatukula tunda.

Wa kwanza kumdinya na sikumpend.

Wa kwanza kuishi naye na sikumbikiri

Wa kwanza kumbikiri na sikumpenda.
🤣🤣🤣
 
I just hope she is doing okay. She moved on to find a better man. It was the right decision, no grudges. The shoes fit her, but she was the wrong princess

I've found the right shoe owner, and she's my better half. I still remember you Angel, you are my soulmate. Hoping you are always happy, you being sad burdens me.

To wake up and carry the heavy load all day, is the right punishments.

WTF mleta mada
Stop crying your a** out!
Are you still carrying them? Do you still think about her?

It's overwhelming I know but somethings aren't meant to be.

Are you happy with the new shoe owner? Or you just have to move on w/life?
 
Since tumeonana I never thought kama ingekua hivi leo, I was young I know and I knew nothing about love! I never believed love existed, I only saw it in TV shows and movies.

You are the one that taught me, wewe ndo ulianza kuonesha affection kwangu, I was afraid coz moyo wangu ulikuwa mbichi na sikuweza kuhimili emotion na upendo ulioelekeza kwangu. I was too freaky I know but that's how it was, sijilaumu na sikulaumu pia.

Is it because umekua now, umepata mwingine anaye weza kukidhi mahitaji? Or bado unanichukia kwa sababu ya kushindwa kurudisha upendo kwako kipindi kile? Au ndo hivyo tu watu hubadilika kutokana na mda kwenda? Honestly sijui but am in love with you and I'll always love you.

First love, najua Kila mtu anamipango na majukumu kutokana na njia tulizo chagua kwenye maisha, ila hili haliwezi kamwe kuvunja bond tuliyo nayo. Sitokuja kukusahau kamwe katika maisha yangu, you made me learn about loving people. Time goes so fast siamini kweli ulikuja na kuondoka, ni kama njozi inayojirudia mara kwa mara. I hope umepata mwenza atakae kujali na kukupa upendo unao stahili.

Nimepata mwenza pia, ila nipo nae kwa sababu mimi ni binadamu pia nahitaji upendo, just like you. Ila ni kama najaribu kufunikia mfuniko wa sufuria kwenye hotpot. Ila sina cha kufanya inabidi maisha yaendelee. Dunia haikupi unachotaka inakupa unachostahili, sina budi kukubaliana na huu msemo.

Miaka 15 imepita na bado ni kama jana, zile moments tulizo kuwa pamoja omg how did that end? Hakika nafasi uipatayo leo, hugeuka kuwa majuto endapo utaichukulia kawaida. You've gone so fast na ulikimbia 100mph kukupata ikawa vigumu. Nilimove on nikapata wanawake wengine ila uhalisia naujua mwenyewe.

Nakwenda kuwa baba soon, mungu akijaalia ila sijui itakuaje? Nahisi nitazidi kukusahau labda, mipango na majukumu yatanipa stress nyingi nikusahau? Ila yote kwa yote bila wewe huenda nisingempata mpenzi anaye nijali kiasi hiki. Upendo wake kwangu hunikumbusha mengi kukuhusu. Na sasa anakwenda kunizalia naona kabisa memories na ndoto kukuhusu zikifutika polepole, ila kaa ukijua nilikupenda na sitokusahau.

Sijapata taarifa yoyote kukuhusu toka tuwasiliane, ila hope unaendelea na maisha huko uliko. Nakutakia maisha mema na utimize malengo yako.

To you,
First love.

Unamaneno au ujumbe kwa first love? Je bado unamkumbuka au ndo ishapita ivyo? Akirudi utamkubalia? Shuka kwa comments!
Dah!Mimi nilipokutana na "my festi-lavu" wangu nilikuwa sijui kuandika.Nilijua kuandika nyaraka za mahaba nikiwa nina miaka 27.Naomba niwe spectator wa sledi hii.
 
You were the first I ever loved, and it breaks my heart to say that you are not my last. This letter is for you, so that you know how much I cherished you and how important you were — and are — in my life.

My first love, even though I do not see you and only merely know about your survival through Facebook and Instagram, I just like to occasionally check in, to see that you are happy.

Even though you may or may not read this, I have to admit that you were the first one to make me see life in different shapes and colors. You made life so full of excitement and passion that I felt exhausted but could not stop.

We were committed to our relationship and our love was only for us to share. My freedom and dreams were never compromised because you always supported me and believed that I could do anything.

I have concluded that no matter how much you love someone, it is hard not to hurt him or her. It is a matter of hoping for forgive and forget. You were my first, and it breaks my heart to know that you are not my last. I still want to thank you for being my first love — my first everything.

Now it’s time for me to find my last.

Sincerely, Your First Love.
I Mean no malice to nobody.
 
You were the first I ever loved, and it breaks my heart to say that you are not my last. This letter is for you, so that you know how much I cherished you and how important you were — and are — in my life.

My first love, even though I do not see you and only merely know about your survival through Facebook and Instagram, I just like to occasionally check in, to see that you are happy.

Even though you may or may not read this, I have to admit that you were the first one to make me see life in different shapes and colors. You made life so full of excitement and passion that I felt exhausted but could not stop.

We were committed to our relationship and our love was only for us to share. My freedom and dreams were never compromised because you always supported me and believed that I could do anything.

I have concluded that no matter how much you love someone, it is hard not to hurt him or her. It is a matter of hoping for forgive and forget. You were my first, and it breaks my heart to know that you are not my last. I still want to thank you for being my first love — my first everything.

Now it’s time for me to find my last.

Sincerely, Your First Love.
I Mean no malice to nobody.
Well put 👏
 
I just hope she is doing okay. She moved on to find a better man. It was the right decision, no grudges. The shoes fit her, but she was the wrong princess

I've found the right shoe owner, and she's my better half. I still remember you Angel, you are my soulmate. Hoping you are always happy, you being sad burdens me.

To wake up and carry the heavy load all day, is the right punishments.

WTF mleta mada
Hapa naona vinyota nyota tu.
Sisi tulokua hatujapita mabanda tunakoment wapi?
 
Back
Top Bottom