Barua kwa Rais Samia kuhusu kashfa za Balozi Mteule wa Rwanda nchini Tanzania, Jen. Patrick Nyamvuba

Hata mimi na kuishi kwangu kijijini, ila bado sijaelewa lengo kuu la Rwanda la kumteua mtu aliyewahi kushika madaraka ya juu ya kijeshi katika nchi yake; kuwa balozi kwenye nchi yetu.

Inawezekana kuna kitu wanakipanga hawa Wanyarwanda.
Na kwa kuwa tayari wameshakuwa wengi nchini. Kagame ana jambo.

Hapa namuona mkuu wa uhamiaji akikoroma usingiz wa Porno.

Nahisi kabisa watu nimesoma nao wakapata na mkopo sio raia wanajifanya waha kutoka kigoma.

Idara hii ifanye uchunguzi wa baadhi ya watz raia na viongoZi wakuu wa vitengo na askari asili ya mama zao
 
Kama alivyosema CDF kinamna, kuna taasisi inatuangusha sana nchi hii, iko bize isiku kucha kutafuta wazalendo wanaolalamikia ugumu wa maisha huku adui hlisi wakimwacha akizidi kujiimarisha.
TISS nadhani hawachakati vizuri taarifa wanazofikishiwa
 
Hongera sana kwa andiko lako hili.
Naamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vitakuwa na taarifa za kutosha kuhusu jambo hili.
Kazi kwenu wanadiplomasia
 
Inafikirisha
 
Watu wanajua vingi aisee anyway yule balo yupo under watchmen wengi relax haweza furukuta hapa nchini
 
Bado inaendelea...??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…