usernameyangu
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 249
- 358
*BARUA KWA WANAUME WOTE NCHINI[emoji394][emoji404]*
*Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo wanaume mnatakiwa mjirekebishe 2018*
1) *Utakuta mwanaume anasafisha chumba mara 7 kwa wiki*
_hayo ndiyo mambo tusiyoyataka 2018 mwanaume anasafsha chumba mara 1 kwa mwezi yaani mpaka uanze kupga chafya chumban_
2) *eti dume zima unabadilisha boksa kila siku*
_mambo ya kike hatutak mwisho 2017 mwanaume kamili anavaa boksa moja angalau wiki 3 kwa afya mpaka iwe nyekundu ndo ifuliwe_
3) *Mtoto wa kiume unaoga kila siku ili ugundue nn*
_huo ndo umama tunaoukataa sasa utakua na tofaut gan na mtoto wa kike hyo tabia isiingie 2018_
4) *Mwanaume unatandika kitanda kila siku*
_hyo tabia ife ni kutudhalilisha wanaume_
5) *Unakuta Dume linafua mashuka kila wiki*
_hzo ni dalili za uanawake mwanaume hua hafui shuka mpka asikie kuwashwa akilala 2018 hatuitak hyo tabia_
6) *Mtoto wa kiume unakaangiza rost kuliko dada yko*
_huo ni umama_
7) *Unajiita Mwanaume wakat chumba chko kinanukia kuliko cha demu wko*
_hayo ndo mambo tunayoyapga vita chumba cha mwanaume kinatakiwa kiwe na fukuto_
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
mwisho 2017
_Imetolewa na mwenyekiti wa wanaume nchini_
Control/Command
C
Control/Command
V
*Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo wanaume mnatakiwa mjirekebishe 2018*
1) *Utakuta mwanaume anasafisha chumba mara 7 kwa wiki*
_hayo ndiyo mambo tusiyoyataka 2018 mwanaume anasafsha chumba mara 1 kwa mwezi yaani mpaka uanze kupga chafya chumban_
2) *eti dume zima unabadilisha boksa kila siku*
_mambo ya kike hatutak mwisho 2017 mwanaume kamili anavaa boksa moja angalau wiki 3 kwa afya mpaka iwe nyekundu ndo ifuliwe_
3) *Mtoto wa kiume unaoga kila siku ili ugundue nn*
_huo ndo umama tunaoukataa sasa utakua na tofaut gan na mtoto wa kike hyo tabia isiingie 2018_
4) *Mwanaume unatandika kitanda kila siku*
_hyo tabia ife ni kutudhalilisha wanaume_
5) *Unakuta Dume linafua mashuka kila wiki*
_hzo ni dalili za uanawake mwanaume hua hafui shuka mpka asikie kuwashwa akilala 2018 hatuitak hyo tabia_
6) *Mtoto wa kiume unakaangiza rost kuliko dada yko*
_huo ni umama_
7) *Unajiita Mwanaume wakat chumba chko kinanukia kuliko cha demu wko*
_hayo ndo mambo tunayoyapga vita chumba cha mwanaume kinatakiwa kiwe na fukuto_
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
mwisho 2017
_Imetolewa na mwenyekiti wa wanaume nchini_
Control/Command
C
Control/Command
V