Barua kwenu Girlfriends


vipi mpango wako wa harusi ya maximum 300 people?? Au nyumba kubwa inabana?
 
Huyu jamaa inaelekea anarusha kombora kwa viwavi vyake vya hapa jamvini.
 
hahaha unatisha
 
Hahaha! Bonge la barua
 

Wiki nzima hii sijawahi cheka kicheko cha aina hii kha! yaani nimecheka mpaka watu wanajiuliza kunani, jf kuna visa na mikasa, umenivunja mbavu leo asee
 

khaaaaaa!!!! mkuu wewe kiboko!umenichana mbavu duuuuuh!
 
territory domination, effective occpuation akija mwiingine ajue not vacant. Mbali na hiyo wangu huacha viatu au sandles kwenye gari logwa uvitoe weeeeeee!
 
Funzadume dah....
Cjacheka wiki hii kama leo... we ni kiboko asee... huyo gashi lazima alitokomea. LOL!!
 
Fundadume kweli we noma, sikutegemea kucheka kiasi hiki, thanks for making my day
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…