Barua Maalum ya UWABATA kwenda kwa Diamond Platnumz baada ya kugoma kumlipia mchepuko kodi!

Barua Maalum ya UWABATA kwenda kwa Diamond Platnumz baada ya kugoma kumlipia mchepuko kodi!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu

Bandiko la binti ndo kama hilo

uwabata.png


==================================================================​

UMOJA WA WANAUME BAHILI TANZANIA UWABATA
S.L.P 444
Dar es Salaam, Tanzania

YAH: PONGEZI KWA USHUJAA WAKO LILIPOKUJA SUALA LA KULIPA KODI

Ndugu Diamond,

Kupitia kiti changu cha uenyekiti wa Baraza la Wanaume Bahili Tanzania (BWBATA), napenda kukupa pongezi za dhati kwa kuwa mfano bora wa kuigwa na wanaume wote wenye akili timamu.

Tumesikia kwa furaha kubwa jinsi ulivyokuwa na msimamo thabiti wa kujua thamani ya pesa hadi ikafikia hatua ya ‘kuchenga chenga’ kodi.

Huo ndio uanaume halisi – kujua kipi ni cha muhimu na kipi ni cha kupita.

Ndugu Diamond, kitendo chako kimeleta mwanga kwa vijana wengi ambao kwa sasa wanateseka kwa kuendekeza ‘michepuko’ huku wakijitwika majukumu yasiyowahusu.

Ulivyoamua kuweka mbele maslahi yako binafsi, umetufundisha kuwa sio kila aliye na hela anatakiwa kuzitumia kama maji ya kisima. .

Tunawahimiza vijana wengine kuiga mfano wako na kuacha tabia ya kuishi kwa kujitwika mizigo.

Wanaume wanatakiwa kujua kuwa kodi si dhambi kutolipa kama haijaandikwa kwenye jina lako.

Tunaendelea kukuombea uendelee kuwa imara kwenye msimamo wako na uendelee kutupa sababu ya kujivunia kuwa bahili.

Mungu akutangulie kwenye harakati zako za kibahili, na tunaamini siku moja utastahili tuzo ya ‘Bahili Bora wa Mwaka.’

Kwa heshima na taadhima,
Bakari Mchungahela,
Mwenyekiti,
Umoja wa Wanaume Bahili Tanzania (BWBATA).
 
Wakuu

Bandiko la binti ndo kama hilo

View attachment 3242027

==================================================================​

UMOJA WA WANAUME BAHILI TANZANIA UWABATA
S.L.P 444
Dar es Salaam, Tanzania

YAH: PONGEZI KWA USHUJAA WAKO LILIPOKUJA SUALA LA KULIPA KODI

Ndugu Diamond,

Kupitia kiti changu cha uenyekiti wa Baraza la Wanaume Bahili Tanzania (BWBATA), napenda kukupa pongezi za dhati kwa kuwa mfano bora wa kuigwa na wanaume wote wenye akili timamu.

Tumesikia kwa furaha kubwa jinsi ulivyokuwa na msimamo thabiti wa kujua thamani ya pesa hadi ikafikia hatua ya ‘kuchenga chenga’ kodi.

Huo ndio uanaume halisi – kujua kipi ni cha muhimu na kipi ni cha kupita.

Ndugu Diamond, kitendo chako kimeleta mwanga kwa vijana wengi ambao kwa sasa wanateseka kwa kuendekeza ‘michepuko’ huku wakijitwika majukumu yasiyowahusu.

Ulivyoamua kuweka mbele maslahi yako binafsi, umetufundisha kuwa sio kila aliye na hela anatakiwa kuzitumia kama maji ya kisima. .

Tunawahimiza vijana wengine kuiga mfano wako na kuacha tabia ya kuishi kwa kujitwika mizigo.

Wanaume wanatakiwa kujua kuwa kodi si dhambi kutolipa kama haijaandikwa kwenye jina lako.

Tunaendelea kukuombea uendelee kuwa imara kwenye msimamo wako na uendelee kutupa sababu ya kujivunia kuwa bahili.

Mungu akutangulie kwenye harakati zako za kibahili, na tunaamini siku moja utastahili tuzo ya ‘Bahili Bora wa Mwaka.’

Kwa heshima na taadhima,
Bakari Mchungahela,
Mwenyekiti,
Umoja wa Wanaume Bahili Tanzania (BWBATA).
Mwenyekiti tuombe radhi sisi wanachama kwa kushindwa kutoa waraka muhimu toka uwabata kwa Ki. Ona sasa màpato yote àliyochuma yanga yamemwagika kàma maji. Omba radhi tafadhali.
 
Back
Top Bottom