Ila mwanamke wa kweli ndo yule ambae anaweza kuibuka from nowhere na kuanza kumshambulia mtu bila sababu bila kujali kwamba huyo mtu ametahadhilisha kutoendelea na hilo jambo... na huyo mtu akithubutu ku-react back basi mwanamke tena huyo mwanamke wa kweli atahamashia matusi hadi kwa mama mzazi wa muhusika lakini baadae atadai yeye siye anayetukana!!! You're very funny... By the way, nani ali-take things personal? Mie nilizungumza suala la Watanzania lakini wewe ukaijivika utetezi wa Watanzania wote wakati message ilikuwa pale saa kibao tu lakini wote wakaamini haiwahusu na wewe tu peke yako ukaona ndo inakuhusu..... aaaaaaaargh! Anyway, stay blessed but if you think you didn't do anything wrong then this can happen happen again... hata kama si kwangu bali hata kwa wengine... my rule is simple... ukinizingua, nakuzingua... otherwise, peace and love... and from now, am gonna love you... or you don't like it? Anyway, stay blessed!NasDaz Naona unaendeleza mambo yasiyo na tija matusi.yako ndo kuji defence i wonder ni malezi gani hayo kwahyo na wewe kulipa matusi ndo umejilinda basi malezi yako kiboko sana wanaume wa kweli hawezi kua ka wewe wenye kujiheshimu asilimia zote mtu yuko wrong matusi sio solution hata hivo sihitaji msamaha wa mtu yoyote coz we differ even thinking capacity and we are from different background and to me its normal sana dont take it to personal kutofautiana mawazo ni kawaida sana