Uchaguzi 2020 Barua ya mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba yaleta kizaazaa

Uchaguzi 2020 Barua ya mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba yaleta kizaazaa

Mocumentary

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
806
Reaction score
2,049
Mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo kupitia ACT-Wazalendo, akutana na upinzani mzito kutoka kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa jimbo hilo, kwa kile kilichoonekana barua yake ya utambulisho kutofautiana na barua nyingine za chama hicho.

Japokuwa mkurugenzi mwisho alimkabidhi fomu, baada ya mashauriano marefu, lakini bado Mkurugenzi na Ofisi nzima wamebaki na mashaka.

 
Hiyo barua yako Ndugu mgombea tunaiomba nasi tushangae.
 
Wakurugenzi wa Uchaguzi mnatumika vibaya sana. Yaani mnaleta matatizo kwa kulazimisha kasoro zisizo za lazima ili tu mpate sababu. Jizuieni uchama kwenye ofisi zetu za umma.
 
Kelele za vyama utafikili wanaonewa kumbe ni uozo mtupu ulioko kule yaan chama kuwa na nembo mbili tofauti ni kwamba hakijajipanga

Sent from my SM-T355Y using JamiiForums mobile app
 
Nashangaa huyo mkurugenzi bado anapumua, yaani bado yupo na upuuzi wate huo
 
Back
Top Bottom