Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 806
- 2,049
Mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo kupitia ACT-Wazalendo, akutana na upinzani mzito kutoka kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa jimbo hilo, kwa kile kilichoonekana barua yake ya utambulisho kutofautiana na barua nyingine za chama hicho.
Japokuwa mkurugenzi mwisho alimkabidhi fomu, baada ya mashauriano marefu, lakini bado Mkurugenzi na Ofisi nzima wamebaki na mashaka.
Japokuwa mkurugenzi mwisho alimkabidhi fomu, baada ya mashauriano marefu, lakini bado Mkurugenzi na Ofisi nzima wamebaki na mashaka.