Jicholamwewe
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 375
- 465
Yeye anataka visa yoyote hata akipata mwaliko sawa.kifupi amejipangaPassport anayo?
Yeye anataka VISA ya aina gani?
Nimekuuliza kuhusu passport anayo?Yeye anataka visa yoyote hata akipata mwaliko sawa.kifupi amejipanga
Ndio anayoNimekuuliza kuhusu passport anayo?
Kwa kua umesema amejipanga basi akate Tourist Visa wala haihitaji barua ya mwaliko, ingieni kwenye website ya US Embassy kwa maelezo zaidi.Ndio anayo
Sasa mbona issue ndogoHabali wakuu,
Dada yangu wa kufahamiana, yeye anataka kwenda kuishi nje yani USA lakini amekosa visa hapa Bongo.
Kwahiyo atakayependa kumsaidia hata ampe mwaliko ili aombe visa. Kuhusu pesa ya nahuri na visa anayo ila mwaliko ndo hana kwahyo naombeni ndugu zangu msaidieni sister huyu aje huko akatafute life.
Kama una msaada kwa hili msaidieSasa mbona issue ndogo
Mmmh okKama kweli kajipanga akaombe visa ya matembezi ila akishindwa aandae hela kweli nikuunganishe na jamaa anaprocess visa ya nchi yoyote iwe ya kazi n.k.
Je Sister ako anaasset zisizoamishika, Biashara, Kazi yenye mshahara mnono nk?Habali wakuu,
Dada yangu wa kufahamiana, yeye anataka kwenda kuishi nje yani USA lakini amekosa visa hapa Bongo.
Kwahiyo atakayependa kumsaidia hata ampe mwaliko ili aombe visa. Kuhusu pesa ya nahuri na visa anayo ila mwaliko ndo hana kwahyo naombeni ndugu zangu msaidieni sister huyu aje huko akatafute life.
Ni mfanya biashala ingawa aliacha kazi ajiajiri.ndio ana nyumba hapa darJe Sister ako anaasset zisizoamishika, Biashara, Kazi yenye mshahara mnono nk?
Kupunguza milolongo Alitakiwa atafute chuo awe admitted ,alipe ada yao ya mwaka chuo wampe barua ya kumtambulisha ubalozini ndipo visa ingekuwa rahisi kupataHabali wakuu,
Dada yangu wa kufahamiana, yeye anataka kwenda kuishi nje yani USA lakini amekosa visa hapa Bongo.
Kwahiyo atakayependa kumsaidia hata ampe mwaliko ili aombe visa. Kuhusu pesa ya nahuri na visa anayo ila mwaliko ndo hana kwahyo naombeni ndugu zangu msaidieni sister huyu aje huko akatafute life.
Sasa tatizo hapo ni kupata hiyo ada kwanzaKupunguza milolongo Alitakiwa atafute chuo awe admitted ,alipe ada yao ya mwaka chuo wampe barua ya kumtambulisha ubalozini ndipo visa ingekuwa rahisi kupata
Yeye alikuwa anahitaji mwaliko kutoka kule yani MTU amsaidieSasa tatizo hapo ni kupata hiyo ada kwanza
Uwezi kulipa ada kabla ujapata visaKupunguza milolongo Alitakiwa atafute chuo awe admitted ,alipe ada yao ya mwaka chuo wampe barua ya kumtambulisha ubalozini ndipo visa ingekuwa rahisi kupata
Vyuo vingi hutaka ulipe ada kwanza ndipo kwanza ya mwaka ndipo wakupe barua ya kukutambulisha ubalozini wakupe Viza ukikosa viza wakati umelipa ada wana ku refund pesa yakoUwezi kulipa ada kabla ujapata visa
NakubaliVyuo vingi hutaka ulipe ada kwanza ndipo kwanza ya mwaka ndipo wakupe barua ya kukutambulisha ubalozini wakupe Viza ukikosa viza wakati umelipa ada wana ku refund pesa yako
Habali wakuu,
Dada yangu wa kufahamiana, yeye anataka kwenda kuishi nje yani USA lakini amekosa visa hapa Bongo.
Kwahiyo atakayependa kumsaidia hata ampe mwaliko ili aombe visa. Kuhusu pesa ya nahuri na visa anayo ila mwaliko ndo hana kwahyo naombeni ndugu zangu msaidieni sister huyu aje huko akatafute life.
Kama kweli kajipanga akaombe visa ya matembezi ila akishindwa aandae hela kweli nikuunganishe na jamaa anaprocess visa ya nchi yoyote iwe ya kazi n.k.