Barua ya wazi kwa Azam media

Unajua azam bila kabumbu hana jipya??
Unajua azam anaingiza kiasi gani kupitia kabumbu
 
Bila mpira hao Azam ni weupe sanaa hawawezi kufata ushauri kijinga kama huu
 
Si kwamba hawajui wanajua ila nakwambia kamwe azam hawezi kufanya hicho, kuwepo kuonyesha kitendo cha kugomea kuonyesha mechi za ligi tayari watakuwa wamejipalia yenyewe makaa ya moto, ukiona wapo kimya basi na wao kuna vitu wanafaidi behind the door hakuna anayekubali kufanya vitu visivyo na faida
 
Ifike pahala Mods wasiruhusu Akili za Mende kujaza seva...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…