Barua ya wazi kwa Bernard Morrison

Barua ya wazi kwa Bernard Morrison

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Salaam. Pole na majukumu ya Kila siku. Niende moja kwa moja kwenye ujumbe wangu: Bernard Morrison jifunze katika maisha KUOMBA MSAMAHA!

Kuomba MSAMAHA si unyonge!! Bali ni utu!! Una kipaji kikubwa sana Cha soka lakini katika maisha umekuwa? ukiwakatisha tamaa wale ambao wangeweza kulea, kukuza, na kutangaza kipaji chako.

Ninaamini Kama ungekuwa mnyenyekevu muda huu ungekuwa mbali Sana yamkini ungekuwa kwenye ligi kubwa Kama EPL na La Liga!!

Kama ukiamua kuwa mnyenyekevu na kukubali kuomba MSAMAHA wa dhati unapokuwa umetenda kosa, utafanikiwa popote! Iwe Simba, Yanga au popote pale!

Kinyume chake hutafika popote na kokote utakakokwenda hautafanikiwa na umri anakutupa mkono!
 
Mi nachoona ajifunze kuwa na nidhamu, msamaha hausaidii kama mkosaji anarudia rudia makosa yale Yale.
Kwa kawaida kuomba MSAMAHA humsaidia mtu kujitahidi kutokurudia kosa! Mtu anapoomba msamaha ni kuwa anatambua kosa lake na kulijutia. Lakini asiyeomba msamaha huona anaonewa na hutafuta namna ya kulipiza kisasi! BM ajitafakari! Kurudi Yanga hakumsaidii Kama bado hajajitambua!! Atafurahi tu kuwa anawakomoa simba lakini muda si mrefu atakinukisha huko Yanga pia!
 
Kwa kawaida kuomba MSAMAHA humsaidia mtu kujitahidi kutokurudia kosa! Mtu anapoomba msamaha ni kuwa anatambua kosa lake na kulijutia. Lakini asiyeomba msamaha huona anaonewa na hutafuta namna ya kulipiza kisasi! BM ajitafakari! Kurudi Yanga hakumsaidii Kama bado hajajitambua!! Atafurahi tu kuwa anawakomoa simba lakini muda si mrefu atakinukisha huko Yanga pia!
Mkuu Morison ni sikio la kufa lile kamwe halisikii dawa.
 
Morisson kichaa tu, aliharibu SA wakamtimua, akaja kuharibu Utopolo, ameenda kuharibu Simba SC, then naona anarudi utopolo kuwaumiza tena, kwa ujinga wa soka letu, mashabiki na viongozi wake, wacha tu atuburuze.
 
Morisson kichaa tu, aliharibu SA wakamtimua, akaja kuharibu Utopolo, ameenda kuharibu Simba SC, then naona anarudi utopolo kuwaumiza tena, kwa ujinga wa soka letu, mashabiki na viongozi wake, wacha tu atuburuze.
Uzuri wa Mashabiki wengi wa Yanga akili na tabi zao zinafanana na zile za Morisoni . Ni wachache Sana wanaojitambua. Tathimini ichukulie hata humu jf utagundua hilo. Hivyo Morisoni na Manara wanarudi home kwa matahaira wenzao .Mimi sioni kama kuna shida. "Yanga mbele , mwiko daima nyuma"
 
Uzuri wa Mashabiki wengi wa Yanga akili na tabi zao zinafanana na zile za Morisoni . Ni wachache Sana wanaojitambua. Tathimini ichukulie hata humu jf utagundua hilo. Hivyo Morisoni na Manara wanarudi home kwa matahaira wenzao .Mimi sioni kama kuna shida. "Yanga mbele , mwiko daima nyuma"
Kama ambavyo alienda kwa mashabiki wa simba ambao tabia zao zilikuwa zinafanana na za morrison basi ata akirudi alikitoka auna mamlaka ya kufungua kinywa kubwata, kama viongozi wenu walimchukua kichaa na wakaona ni sawa na nyie mkashangilia na kupiga makofi iweje leo akirudi yanga mnaanza kumzodoa?
 
Salaam. Pole na majukumu ya Kila siku. Niende moja kwa moja kwenye ujumbe wangu: Bernard Morrison jifunze katika maisha KUOMBA MSAMAHA! Kuomba MSAMAHA si unyonge!! Bali ni utu!! Una kipaji kikubwa sana Cha soka lakini katika maisha umekuwa? ukiwakatisha tamaa wale ambao wangeweza kulea, kukuza, na kutangaza kipaji chako. Ninaamini Kama ungekuwa mnyenyekevu muda huu ungekuwa mbali Sana yamkini ungekuwa kwenye ligi kubwa Kama EPL na La Liga!!
Kama ukiamua kuwa mnyenyekevu na kukubali kuomba MSAMAHA wa dhati unapokuwa umetenda kosa, utafanikiwa popote! Iwe Simba, Yanga au popote pale! Kinyume chake hutafika popote na kokote utakakokwenda hautafanikiwa na umri anakutupa mkono!
Wakili msomi "Advocate BM3" kwani amekutendeni nini tena Makolo?. Naona mnalalama tu kisa hakisemwi.
 
Wakili msomi "Advocate BM3" kwani amekutendeni nini tena Makolo?. Naona mnalalama tu kisa hakisemwi.
Nimepata jibu kwenye Uzi mwengine kule. Kumbe ni ukinara wa kudai bonus zilizoahidiwa bila kulipwa.
 
Muhuni ni muhuni tu hata akienda shule hawezi elimika ndo mana wanasema wahuni sio watu
 
Back
Top Bottom