Barua ya wazi kwa Dada Halima Mdee

acha kumpotosha mtu mwenye Elimu yake bro. wewe ndo ulimsomesha Mdee kwani, huo sio muda wa Mdee kutumia Elimu yake kwenye siasa za uanaharakati na ubishi.
 
Sure! Na ni Mnyika alienda gerezani akamtoa nusrat usiku kabla ya case yake mahakamani!
 
Hapokei tena hizo barua maana amepokea nyingi sana ndani ya wiki hii nyingi hazina maana!
Hahahah amekuwa amekuwa shujaa leo siyo tena mpinga maendeleo. Yule uliyeshangilia alipotaka kuwapa na policcm/ magereza ? Yule ambaye ukiimba aozzee gerezani cc tukachanga kumtoa? Yule aliyefungiwa mwaka mzima na speaker ndugai??? Kwakweli mtu mweusi kama wewe unas Shida kubwa sana kichwani. Namlaani aliyeanzisha chuo cha mwalimu nyerere.kule mnakofundishana kuiba kura
 
Ndiyo maana waiocheza mchezo huu wameanza kuondoewa chamani kina PoaPoa. Ngoma imedunda waitaka kudanganya Jumuiya za kimataifa kuwa kuna upinzani Tanzania wamejikuta wameshidwa, hakukuwa na namna nyingine zaidi ya kuanza kuwaondoa chamani, waweze kuja na mbinu mpya. CCM wakae meza moja na CHADEMA basi. Watu kama Msekwa watunga katiba ya nchi wamesema hao si wabunge unadhani Jumuiya za Kimataifa zitawaeewa hata kama Ndungai ataendeea kuwainda Covid 19. Mabeberu hawatatoa pesa zao maana wataona hiozo kamati CCM wanazongangania ziundwe na wapinzania ni feck, magumashi tuu. Mabeberu wana akiii huwezi kuwadanganya kwa njia za kitoto hivyo wakupe pesa za waipa kodi wao.
 
Sure! Na ni Mnyika alienda gerezani akamtoa nusrat usiku kabla ya case yake mahakamani!
Mbona cheq alikuwa anapelekewa gerezani wakati bavicha wanataka kutoa ela? Yote yanawezekana as long as mwenyewe ameridhika

Kama jela alikaa yy na familia yake ndio ilikuwa inaumia, na yy amekubali kuwa mbunge Sasa shida ni nn
 
Mbona cheq alikuwa anapelekewa gerezani wakati bavicha wanataka kutoa ela? Yote yanawezekana as long as mwenyewe ameridhika

Kama jela alikaa yy na familia yake ndio ilikuwa inaumia, na yy amekubali kuwa mbunge Sasa shida ni nn
Kuna utaratibu was kutolewa gerezani usiku!? Ebu fafanua kidogo
 
Njaa mbaya sana kaka,,,

Heshima ni bora kuliko fedha, na utu ni bora kuliko dhahabu!"

Halima Mdee alipaswa kujifunza kwa wabunge wenzake waliohama chadema na kujiunga na ccm kwamadai ya kuunga mkono juhudi jinsi walivyopigwa chini na wajumbe!

Mwana kulitafuta mwana kulipata!

Mwana kilanga hakaliwi matanga!
 
Mbunge unakaa bungeni miaka kumi na mitano , kumi , mitano mshahara mnono , opportunity kibao , pension ya mamilioni halafu huna hata mradi wowote ule wa kukuingizia kipato ? Ni akili matope ? . Matokeo yake ndio haya kununuliws kwa vijisenti .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…