dodomacity
Member
- Jan 26, 2021
- 7
- 10
Naamini atashughurika naoKamanda heshima yako,
Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.
asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
asante
Kamanda heshima yako,
Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.
asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
asante
Mkuu chana na weka uchi hapaJF hatunaga kulemba, sema wapi, lini na wamefanya nini?
Awataje kabisa kwa majina. Bila kutaja DG atawajuaje? PCCB ina maofisa kibao kila Kona ya TanzaniaMkuu chana na weka uchi hapaJF hatunaga kulemba, sema wapi, lini na wamefanya nini?
Waweza kuwa mzalendo wa kweli,ila tu itakuwa jambo jema kama nitaarifa ya kweli isiyokuwa na manufaa binafsi au majungu ndani yake,Tanzania ni yetu wote tuijenge kwa pamoja.Kamanda heshima yako,
Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.
asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
asante
Bado hujafanya Jambo la Tija badala yake ungewataja hao Maofisa ( Watendaji ) wala rushwa wa PCCB tungekuona una Mantiki mno kwani huenda kuna Watu hapa JamiiForums wako Jirani na PCCB DG hivyo wangerahisisha Jambo lako Kumfikia kwa haraka na hata Watendaji wa Vyombo vingine kuanza Kuwafuatilia na hata Kuwachunguza.Kamanda heshima yako,
Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.
asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
asante
Ndio matatizo ya kuajiri UVCCM kwenda PCCB au TISS au Polisi hakuna weledi na rushwa kuvuka mipaka.Kamanda heshima yako,
Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.
asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
asante
Kamanda heshima yako,
Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.
asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
asante
Uhamiaji ni shida, nilituma email kama mara 4 lakini hakuna majibu, hawajibu email wanazotumiwa.Kuna tatizo hilo pia hata uhamiaji email hawasomi na hawajibu sijuiwaliweka za nini hazifanyiwi kazi hata kidogo....ukute malalamiko halali wao wanaita majungu.....watupe email ya mama tujue moja
Dawa yao ni kumwambia Mama tu kazi mazoea...Uhamiaji ni shida, nilituma email kama mara 4 lakini hakuna majibu, hawajibu email wanazotumiwa.
Haya kawataja tayari hebu msidieni basiWanajf naomba radhi kwa kuchelewa kujibu hoja zinazohusu post yangu kwani nilikuwa mgonjwa wa kitandani kwa wiki mbili nikiwa hoi. Kiufupi ni kwamba maofisa hawa wako hapa bukoba mjini kwenye ofisi ya pccb mkoa ambao ni KILASA MALULU, TRYPHONE MAGOGWA, MBAGA, KAPERA na mtu mmoja hivi ana kovu shavuni pia akiwemo bwana John Joseph ambaye ni mkuu wao. Tumelalamika tangu mwaka 2019 mpaka sasa hakuna majibu, lakini pia tumetuma emails kibao bila majibu na wakati mwingine tumeomba tuombwe ushahidi lakini pccb hq haijawahi kututakisha ushahidi. Email zetu wanazo lakini wako kimya.