wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,544
Mdogo wangu Diamond, umesahau ulikotoka, mafanikio yamekufanya hadi unamdharau baba yako mzazi, hata kama alikukosea vp, huna baba mwingine zaidi yake.
Mama yangu aliwahi kuniambia kuwa, baba ni baba tu hata kama ni chizi, umaarufu, kipaji na pesa vyote vitaisha na hutaamini kamwe, kila jambo na wakati wake, leo hii unawaona waandishi wakubwa wa riwaya kama kina shigongo, kabla yao walikuwepo wengine kama kina Elvis Musiba na Ben Mtobwa, shigongo na wewe wote mtatoka kwenye game watakuja wengine nao watafunika vibaya.
Dunia ni gunia, usidhani kuwa wewe utatamalaki milele, muda si mrefu utafutika kwenye game, hao mademu zako kina wema, meninnah, penny na wengine, hakuna anayekupenda kwa dhati hata mmoja mdogo wangu, wanakupendea umaarufu wako na pesa ulizofanikiwa kupata.
Ungekuwa unasukuma mkokoteni au kupiga debe kwenye daladala kamwe usingewaona hao warembo dogo, jirekebishe haraka, ukamuombe na msamaha baba yako, pia uwe unampatia matumizi kama ufanyavyo kwa mama yako, hapo MUNGU atakubariki sana na hakika utadumu sana kwenye game
Mama yangu aliwahi kuniambia kuwa, baba ni baba tu hata kama ni chizi, umaarufu, kipaji na pesa vyote vitaisha na hutaamini kamwe, kila jambo na wakati wake, leo hii unawaona waandishi wakubwa wa riwaya kama kina shigongo, kabla yao walikuwepo wengine kama kina Elvis Musiba na Ben Mtobwa, shigongo na wewe wote mtatoka kwenye game watakuja wengine nao watafunika vibaya.
Dunia ni gunia, usidhani kuwa wewe utatamalaki milele, muda si mrefu utafutika kwenye game, hao mademu zako kina wema, meninnah, penny na wengine, hakuna anayekupenda kwa dhati hata mmoja mdogo wangu, wanakupendea umaarufu wako na pesa ulizofanikiwa kupata.
Ungekuwa unasukuma mkokoteni au kupiga debe kwenye daladala kamwe usingewaona hao warembo dogo, jirekebishe haraka, ukamuombe na msamaha baba yako, pia uwe unampatia matumizi kama ufanyavyo kwa mama yako, hapo MUNGU atakubariki sana na hakika utadumu sana kwenye game