Barua ya wazi kwa katibu mkuu CCM balozi Nchimbi

Barua ya wazi kwa katibu mkuu CCM balozi Nchimbi

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
BARUA YA WANABIHARAMULO KWA BALOZI NCHIMBI KATIBU MKUU WA CCM TAIFA

UTANGULIZI

Mh balozi tumesikia kuwa unakuja kufanya ziara hapa Biharamulo tunakukaribisha wilayani kwetu Biharamulo ,kuja kwako ni neema ya kutatua matatizo makubwa ya kiungozi/kiutawala ya chama chetu hapa wilayani biharamulo ,Pia kutatua tatizo la uvunjifu wa kanuni/sheria na miongozo ya chama chetu kuhusu kampeni kabla ya uchaguzi .


Hapa Biharamulo kuna mwanachama mwenzetu mwenye asili ya Burundi anaitwa Gresimus Nkurunzinza Ssebuyoya alinza kampeni mapema sana kabla na kujipitisha akitoa ahadi na hatimaye kukigawa chama ,kiufupi chama cha mapinduzi hapa Biharamulo kimegawanyika kati ya huyo Nkurunzinza na viongozi wa chama na hatimae kupunguza kazi ya usimamizi wa ilani yetu.


Nkurunzinza anafanya vikao vya usiku na makundi yake, anataka wananchi wasikiunge chama mkono ili mbunge wa sasa aonekane amwshindwa ili yeye aje agombee .

Amewanunua baadhi ya wagombea viongozi wa chama na sasa kuna tatizo kubwa la utawala na uongozi ndani ya chama na nje ya chama .

Mwaka 2020 ndugu Nkurunzinza aliongoza kura za maoni kamati kuu ikamakata kwa kukiuka kanuni,kutoa rushwa na ishu ya utata wa uraia wake tabia ambazo bado anazo .

Mh katibu Mkuu, sisi mwanaccm Biharamulo tunalazimika kukushktakia wewe kwa kuwa tunajua hapa Biharamulo chama amekiweka mfukoni kwa kuhonga viongozi huku CHADEMA ikizidi kupata uungwaji mkono mwisho wa siku tukose jimbo lichukuliwe.

Mh katibu Mkuu, huyu mtu anazunguka vijijini akigawa pesa kununua watu mapema na madhara yake yatatokea hata kwenye uchaguzi wa serkali za mitaa kabla ya serkali kuu

Mh katibu Mkuu, naomba uongee na viongozi wa juu katibu Sudi ,mwenyekiti na mwenezi wenu wakupe taarifa sahihi juu ya mgawanyiko huo kwa kuwa kesi zipo kwenye vikao vya maamuzi

Mh katibu Mkuu karibu sana Biharamulo

Mimi mwanachama CDE Rwanganga Nganyi
 

Attachments

  • FB_IMG_1719825945278.jpg
    FB_IMG_1719825945278.jpg
    18.7 KB · Views: 7
BARUA YA WANABIHARAMULO KWA BALOZI NCHIMBI KATIBU MKUU WA CCM TAIFA

UTANGULIZI

Mh balozi tumesikia kuwa unakuja kufanya ziara hapa Biharamulo tunakukaribisha wilayani kwetu Biharamulo ,kuja kwako ni neema ya kutatua matatizo makubwa ya kiungozi/kiutawala ya chama chetu hapa wilayani biharamulo ,Pia kutatua tatizo la uvunjifu wa kanuni/sheria na miongozo ya chama chetu kuhusu kampeni kabla ya uchaguzi .


Hapa Biharamulo kuna mwanachama mwenzetu mwenye asili ya Burundi anaitwa Gresimus Nkurunzinza Ssebuyoya alinza kampeni mapema sana kabla na kujipitisha akitoa ahadi na hatimaye kukigawa chama ,kiufupi chama cha mapinduzi hapa Biharamulo kimegawanyika kati ya huyo Nkurunzinza na viongozi wa chama na hatimae kupunguza kazi ya usimamizi wa ilani yetu.


Nkurunzinza anafanya vikao vya usiku na makundi yake, anataka wananchi wasikiunge chama mkono ili mbunge wa sasa aonekane amwshindwa ili yeye aje agombee .

Amewanunua baadhi ya wagombea viongozi wa chama na sasa kuna tatizo kubwa la utawala na uongozi ndani ya chama na nje ya chama .

Mwaka 2020 ndugu Nkurunzinza aliongoza kura za maoni kamati kuu ikamakata kwa kukiuka kanuni,kutoa rushwa na ishu ya utata wa uraia wake tabia ambazo bado anazo .

Mh katibu Mkuu, sisi mwanaccm Biharamulo tunalazimika kukushktakia wewe kwa kuwa tunajua hapa Biharamulo chama amekiweka mfukoni kwa kuhonga viongozi huku CHADEMA ikizidi kupata uungwaji mkono mwisho wa siku tukose jimbo lichukuliwe.

Mh katibu Mkuu, huyu mtu anazunguka vijijini akigawa pesa kununua watu mapema na madhara yake yatatokea hata kwenye uchaguzi wa serkali za mitaa kabla ya serkali kuu

Mh katibu Mkuu, naomba uongee na viongozi wa juu katibu Sudi ,mwenyekiti na mwenezi wenu wakupe taarifa sahihi juu ya mgawanyiko huo kwa kuwa kesi zipo kwenye vikao vya maamuzi

Mh katibu Mkuu karibu sana Biharamulo

Mimi mwanachama CDE Rwanganga Nganyi
Endeleeni kuparuana huku akina Msigwa wakijichukulia madaraka taratibu.
 
BARUA YA WANABIHARAMULO KWA BALOZI NCHIMBI KATIBU MKUU WA CCM TAIFA

UTANGULIZI

Mh balozi tumesikia kuwa unakuja kufanya ziara hapa Biharamulo tunakukaribisha wilayani kwetu Biharamulo ,kuja kwako ni neema ya kutatua matatizo makubwa ya kiungozi/kiutawala ya chama chetu hapa wilayani biharamulo ,Pia kutatua tatizo la uvunjifu wa kanuni/sheria na miongozo ya chama chetu kuhusu kampeni kabla ya uchaguzi .


Hapa Biharamulo kuna mwanachama mwenzetu mwenye asili ya Burundi anaitwa Gresimus Nkurunzinza Ssebuyoya alinza kampeni mapema sana kabla na kujipitisha akitoa ahadi na hatimaye kukigawa chama ,kiufupi chama cha mapinduzi hapa Biharamulo kimegawanyika kati ya huyo Nkurunzinza na viongozi wa chama na hatimae kupunguza kazi ya usimamizi wa ilani yetu.


Nkurunzinza anafanya vikao vya usiku na makundi yake, anataka wananchi wasikiunge chama mkono ili mbunge wa sasa aonekane amwshindwa ili yeye aje agombee .

Amewanunua baadhi ya wagombea viongozi wa chama na sasa kuna tatizo kubwa la utawala na uongozi ndani ya chama na nje ya chama .

Mwaka 2020 ndugu Nkurunzinza aliongoza kura za maoni kamati kuu ikamakata kwa kukiuka kanuni,kutoa rushwa na ishu ya utata wa uraia wake tabia ambazo bado anazo .

Mh katibu Mkuu, sisi mwanaccm Biharamulo tunalazimika kukushktakia wewe kwa kuwa tunajua hapa Biharamulo chama amekiweka mfukoni kwa kuhonga viongozi huku CHADEMA ikizidi kupata uungwaji mkono mwisho wa siku tukose jimbo lichukuliwe.

Mh katibu Mkuu, huyu mtu anazunguka vijijini akigawa pesa kununua watu mapema na madhara yake yatatokea hata kwenye uchaguzi wa serkali za mitaa kabla ya serkali kuu

Mh katibu Mkuu, naomba uongee na viongozi wa juu katibu Sudi ,mwenyekiti na mwenezi wenu wakupe taarifa sahihi juu ya mgawanyiko huo kwa kuwa kesi zipo kwenye vikao vya maamuzi

Mh katibu Mkuu karibu sana Biharamulo

Mimi mwanachama CDE Rwanganga Nganyi
Ezra mwenyewe mjinga tu wacha apigwe majungu na kuondolewa yeye wakati hajalipata hilo jimbo aliwasahau marafaki zake waliomsaidia kuchukua jimbo vinginevyo asingelipata, mfano mdogo Kata ya Lusahunga na ikiwa pamoja na Nyakanazi kuna watu hawakulala kuhakikisha Ezra anaungwa mkono maana hayo maeneo chadema ilikuwa imeshika ndani ya mioyo ya watu ila watu walipiga kazi Ezra akapita mwisho wa siku kawatelekeza jamaa zake .

Msalimie Furaha Mdui mzee wa chini kwa chini
 
Ezra mwenyewe mjinga tu wacha apigwe majungu na kuondolewa yeye wakati hajalipata hilo jimbo aliwasahau marafaki zake waliomsaidia kuchukua jimbo vinginevyo asingelipata, mfano mdogo Kata ya Lusahunga na ikiwa pamoja na Nyakanazi kuna watu hawakulala kuhakikisha Ezra anaungwa mkono maana hayo maeneo chadema ilikuwa imeshika ndani ya mioyo ya watu ila watu walipiga kazi Ezra akapita mwisho wa siku kawatelekeza jamaa zake .

Msalimie Furaha Mdui mzee wa chini kwa chini
Mbunge kumbe ni lofa?
 
Kwa akili zako ndogo kulikuwa na mgombea wa kushindana na ccm hapa au huyu mvuta bangi Mbelwa ndio awe mbunge

USSR
 
Mimi kama ningekua zombi (mwana CCM) kura yangu ingeenda kwa ndugu comrade Nkurunzinza. Viva Nkurunzinza, Viva mazombi ya Biharamulo
 
Kwa kuwa amekugalagaza chini wewe na genge lako lote

USSR
Ndugu mimi hata sihusiki na chochote huko ila nafahamu sana mambo ya wilaya hiyo ila mie nipo wilaya nyingine na mkoa mwingine kabisaa
 
Ndugu mimi hata sihusiki na chochote huko ila nafahamu sana mambo ya wilaya hiyo ila mie nipo wilaya nyingine na mkoa mwingine kabisaa
Sasa ukisema mbunge ni rofa unamaana gani nyie walimu wa kabindi huko mnakosea sana ,siasa sio vita

USSR
 
Sasa ukisema mbunge ni rofa unamaana gani nyie walimu wa kabindi huko mnakosea sana ,siasa sio vita

USSR
😂😂😂😂 shenzi zako mimi na Ualimu wapi na wapi ila yule jamaa yenu mzinguaji, kipindi anausaka ubunge alikuwa anakuja na kulala kwa Mdui kaupata hata simu hapokei
 
Friends,
  • Sebuyoya ni MTU sahihi kbs
  • Mwaka 2020 alishinda kura za maoni lkn akahujumiwa juu
  • Mbunge wa sasa EZRA ni msahaulifu - waliomsaidia amewaacha, amewatelekeza, amewatupa. Kuna Eng's wengi bodi ya maji shinyanga kawatupa; nyakanazi akina J mfuga kuku kamtupa, Mo wa biashara kamtupa, Benizeti katupwa.

In short huyu Ezra 2025 atafute kaxi aiwezayo
 
Friends,
  • Sebuyoya ni MTU sahihi kbs
  • Mwaka 2020 alishinda kura za maoni lkn akahujumiwa juu
  • Mbunge wa sasa EZRA ni msahaulifu - waliomsaidia amewaacha, amewatelekeza, amewatupa. Kuna Eng's wengi bodi ya maji shinyanga kawatupa; nyakanazi akina J mfuga kuku kamtupa, Mo wa biashara kamtupa, Benizeti katupwa.

In short huyu Ezra 2025 atafute kaxi aiwezayo
Ezra wa hovyo tu aliniacha Lusahunga tumetoka kula wote kanikimbia
 
Namfahamu sebuyoya nkuruzinza MD. Dakatari mwemye akili zake sawasawa na kijana wa kitanzania tumekuwa nae mikocheni pale Regent
Muhimbili kwenyewe ameacha alama ya uanafunzi bora na alikuwa mtu wa msimamo sana.
2025 msifanye makosa huyu akichukua jimbo uwaziri hakosi ni mtu na nusu. A man of his words. Na mzalendo kwelikweli. Angalia alivyo transform utendaji katika hospitali ya wilaya yenu.
 
Back
Top Bottom