Barua ya wazi kwa klabu ya Simba

Barua ya wazi kwa klabu ya Simba

kasanga70

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
222
Reaction score
515
Wasalaam
Klabu yangu kubwa nawashauri tena. Niliwambia ukweli mechi ya Red Arrows ndicho kilichotokea.
1. Katika vilabu vikubwa Afrika mmo top ten lakini utani uwanjani na kuchangamka mwishoni mwa mechi itaendelea kuwacost.

2. Upangaji Wa kikosi ndio mnapoteaga balaa. Yaani wewe ni klabu kubwa Afrika unakuja kutuwekea first eleven ambayo haiwezi kumfunga hata mwadui. Sijui mkoje.

3. Kupendana pendana kindugu na kupangana ki wana wana wakati uwezo mdogo acheni hizo. Hii matola inakuhusu.

4. Nafasi mnayopewa ktk Afrika itapotea son mkiendelea kutuletea wachezaji Wa ligi daraja la kwanza kama hela zipo mnashindwa nini kununua strikers goal getter. Mnabaki tia maji tia maji tu na ushujaa Wa midomoni.

5. Mkishinda kesho kagoli kamoja anzeni kicheza biriani na kupandisha ma full backs muone asec watakachowafanya...

6. Kwa Leo ni hayo tuu teteeni club yenu kwa usajili Wa maana acheni utoto kwenye hili.
Mwisho Asec watawapiga counter attacks za kufa MTU...waambjeni mabeli keshi wajipange. Wana viberenge hao vinatembea na Mpira mguuni. Alamsiki
 
Wasalaam
Klabu yangu kubwa nawashauri tena. Niliwambia ukweli mechi ya Red Arrows ndicho kilichotokea.
1. Katika vilabu vikubwa Afrika mmo top ten lakini utani uwanjani na kuchangamka mwishoni mwa mechi itaendelea kuwacost.

2. Upangaji Wa kikosi ndio mnapoteaga balaa. Yaani wewe ni klabu kubwa Afrika unakuja kutuwekea first eleven ambayo haiwezi kumfunga hata mwadui. Sijui mkoje.

3. Kupendana pendana kindugu na kupangana ki wana wana wakati uwezo mdogo acheni hizo. Hii matola inakuhusu.

4. Nafasi mnayopewa ktk Afrika itapotea son mkiendelea kutuletea wachezaji Wa ligi daraja la kwanza kama hela zipo mnashindwa nini kununua strikers goal getter. Mnabaki tia maji tia maji tu na ushujaa Wa midomoni.

5. Mkishinda kesho kagoli kamoja anzeni kicheza biriani na kupandisha ma full backs muone asec watakachowafanya...

6. Kwa Leo ni hayo tuu teteeni club yenu kwa usajili Wa maana acheni utoto kwenye hili.
Mwisho Asec watawapiga counter attacks za kufa MTU...waambjeni mabeli keshi wajipange. Wana viberenge hao vinatembea na Mpira mguuni. Alamsiki
Ibrahim Konate
 
mkuu unahaha mara mi simba mara mi utopolo angalia usije ukasema wewe ni Irene uwoya , hao vibwengo wako baadaye wanakula 4-0 msisje kuanza kusema ni vibonde
Ata Simba ni vibonde, maana ukweli unaonyesha katika mechi Tano za ligi zilizo pita bila Marefa kuingilia Kati Simba walistahili point 3. Uo ndio ukweli na iyo ndio Hali halisi.
 
mkuu unahaha mara mi simba mara mi utopolo angalia usije ukasema wewe ni Irene uwoya , hao vibwengo wako baadaye wanakula 4-0 msisje kuanza kusema ni vibonde
Mkuu, hili ni TAPELI tu! Ki uhakika, ni TOPOLO LIALIA!
CamScanner%2002-13-2022%2007.54.jpg
 
mleta mada vipi ukhali gani huko morocco
 
Wasalaam
Klabu yangu kubwa nawashauri tena. Niliwambia ukweli mechi ya Red Arrows ndicho kilichotokea.
1. Katika vilabu vikubwa Afrika mmo top ten lakini utani uwanjani na kuchangamka mwishoni mwa mechi itaendelea kuwacost.

2. Upangaji Wa kikosi ndio mnapoteaga balaa. Yaani wewe ni klabu kubwa Afrika unakuja kutuwekea first eleven ambayo haiwezi kumfunga hata mwadui. Sijui mkoje.

3. Kupendana pendana kindugu na kupangana ki wana wana wakati uwezo mdogo acheni hizo. Hii matola inakuhusu.

4. Nafasi mnayopewa ktk Afrika itapotea son mkiendelea kutuletea wachezaji Wa ligi daraja la kwanza kama hela zipo mnashindwa nini kununua strikers goal getter. Mnabaki tia maji tia maji tu na ushujaa Wa midomoni.

5. Mkishinda kesho kagoli kamoja anzeni kicheza biriani na kupandisha ma full backs muone asec watakachowafanya...

6. Kwa Leo ni hayo tuu teteeni club yenu kwa usajili Wa maana acheni utoto kwenye hili.
Mwisho Asec watawapiga counter attacks za kufa MTU...waambjeni mabeli keshi wajipange. Wana viberenge hao vinatembea na Mpira mguuni. Alamsiki
Muwe mnarudi humu kuleta mrejesho, siyo mnatelekeza nyuzi zenu.

Ila kuna kitu kikubwa na Cha muhimu Sana nilijifunza ktk maisha, nacho ni KUWEKA AKIBA YA MANENO.
 
Wasalaam
Klabu yangu kubwa nawashauri tena. Niliwambia ukweli mechi ya Red Arrows ndicho kilichotokea.
1. Katika vilabu vikubwa Afrika mmo top ten lakini utani uwanjani na kuchangamka mwishoni mwa mechi itaendelea kuwacost.

2. Upangaji Wa kikosi ndio mnapoteaga balaa. Yaani wewe ni klabu kubwa Afrika unakuja kutuwekea first eleven ambayo haiwezi kumfunga hata mwadui. Sijui mkoje.

3. Kupendana pendana kindugu na kupangana ki wana wana wakati uwezo mdogo acheni hizo. Hii matola inakuhusu.

4. Nafasi mnayopewa ktk Afrika itapotea son mkiendelea kutuletea wachezaji Wa ligi daraja la kwanza kama hela zipo mnashindwa nini kununua strikers goal getter. Mnabaki tia maji tia maji tu na ushujaa Wa midomoni.

5. Mkishinda kesho kagoli kamoja anzeni kicheza biriani na kupandisha ma full backs muone asec watakachowafanya...

6. Kwa Leo ni hayo tuu teteeni club yenu kwa usajili Wa maana acheni utoto kwenye hili.
Mwisho Asec watawapiga counter attacks za kufa MTU...waambjeni mabeli keshi wajipange. Wana viberenge hao vinatembea na Mpira mguuni. Alamsiki
Muwe mnarudi humu kuleta mrejesho, siyo mnatelekeza nyuzi zenu.

Ila kuna kitu kikubwa na Cha muhimu Sana nilijifunza ktk maisha, nacho ni KUWEKA AKIBA YA MANENO.
 
Back
Top Bottom