NAAMINI
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 672
- 235
ndugu zangu wanaharakati wenzangu wa kutoka vyuo mbalimbali hapa Tanzania....semister iliyoisha SUA ilifanya uchaguzi na hakika ilipata rais bora aliekubarika sana,lakini kiongozi yule baada ya kuanza kazi na kuwabana viongozi wa chuo..wakaamua kumuondoa tena kwa kumuonea kabisa...ndugu zangu wasomi wa vyuo vikuu vyote freedom squares zote zimekuwa ni kumbi za sherehe na harusi..watu hawakutani tena kujadili maswala mbalimbali kwa hofu iliyojengwa na wapumbavu wachache...vijana siku hizi mmekuwa kimya...rais wa chuo kikuu anafukuzwa tena kwa kuonewa lakini vijana mpo kimya kama hakuna chochote kilichotokea...vijana ilitakiwa mjiunge na muhoji raisi wenu yuko wapi pasipo uoga...naumia sana kwakuwa na kizazi cha watu waoga na wasio hoji...nasikia tena mmeambiwa mtoe 20000 kwa ajili ya medical fees huku mkiwa na vitambulisho vya bima kwa kuwa ni waoga mmeshindwa kuhoji wasomi mnaburuzwa....watu wa agronomy wameondolewa kwa kuonewa kabisa ila kila mtu analake leo kwake kesho kwako..kwanini vijana hamuoji..vijana mmekuwaje sasa hivi.......
tell my people that i love them very much my blood and tears will nourish the trees that will bear fruits of freedom.......:teeth:
tell my people that i love them very much my blood and tears will nourish the trees that will bear fruits of freedom.......:teeth: